Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

Duh umetisha mzee baba ndio maana naona vimiguu tu hawataki kuonesha matumbo yao basi kuanzia sasa waziri wa kilimo hatasitisha ulimaji wa viazi mviringo
We huoni hapa JF Wanaishia tu kupiga picha miguu...
Sijui wanatangaza biashara za viatu..!??

Figure ya juu kama wacheza SUMO...!!!!!!

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Tatizo sio ulaji wa chips
Tatizo lipo kwenye matumizi ya dawa za kughairisha siku ndo mana wengi wao wanavitambi hii ni athari za matumizi ya vipandikizi na madawa ya kuzuia mimba!
 
Hapana
Ww si wa nchi hii
Kuwa na kitambi ni asili ya mtu tu

Mimi hata nile vipi ama ninenepe namna gani tumbo haliji kabisaaa...na wala sio mtu wa mazoezi

Wewe kama sio mtu wa kuoa usioe ,usisingizie vitambi
 
Hhhhhhhhhhh
Ukitoka nae out hakikisha anakula ugali kdg na mboga za majani bila nyama, kama analewa mpatie spirit, Gin au whiskey na Coke bariidi kabisa..

Ukimuachia aagize utasikia kitomoto kilo moja, ndizi 6 na chips kidogo usisahau na chachandu. Utadhania anakula baada ya hapo anaenda kufungwa jela
 
Nawasalimu

CAG naona hili hajaliona yaani sijui kuna shida gani..Nichukue nafasi hii kuwashauri maana mimi ukiwa na kitambi nakupiga chini.
Kuleni kistaarabu sasa unatoka na mamzi anaagiza chipsi mayai mishaki mitatu sosegi mbili na kuku nusu anasema afungiwe seriously..

Aya kama haotoshi mnatoka apo bidada unakuta anapiga bia zaidi yako..no way lazima likitambi lije..Alafu bora angekuwa anafanya mazoezi.

Msipoolewa mnasema hamna bahati.Badilikeni bhana la sivyo mtaishia kuzalishwa na kuachwa.
Hapana mzee sio vitambi, ni Bell fat hiyo. Inaweza ondolewa kama atakuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi mara kwa mara.
 
Nawasalimu

CAG naona hili hajaliona yaani sijui kuna shida gani..Nichukue nafasi hii kuwashauri maana mimi ukiwa na kitambi nakupiga chini.
Kuleni kistaarabu sasa unatoka na mamzi anaagiza chipsi mayai mishaki mitatu sosegi mbili na kuku nusu anasema afungiwe seriously..

Aya kama haotoshi mnatoka apo bidada unakuta anapiga bia zaidi yako..no way lazima likitambi lije..Alafu bora angekuwa anafanya mazoezi.

Msipoolewa mnasema hamna bahati.Badilikeni bhana la sivyo mtaishia kuzalishwa na kuachwa.
Waheshimu wanawake basi ndugu yangu. Isije ikawa hadi mama yako mzazi ukawa unamuangalia kwa mtazamo huo.

Wanawake wametofautiana maumbile, wapo wanaopata matumbo baada ya kujifungua mtoto na kuna wengine vitambi vyao vinatokana na kurithi au lishe.

Kama bado hujakua achana na habari za kuoa, huwezi kuishi na mtu miaka yote bila kuwa na mabadiliko ya kimwili hata wewe unavyojiona ni tofauti na ulivyokua mwanzo.

Huenda unavyoanza mapenzi kila mmoja alipenda kitu fulani kwa mwenzie hivyo kubadilika kwa mwenzako sio tatizo maana jinsi unavyomuona vibaya mwenzako naye anakuona vivyo hivyo.

Kama huwezi kuishi na mwanamke kisa amebadilika maumbile acha kuoa endelea kuruka na mabinti wa shape unazotaka lakini kumbuka umri unakutupa mkono na kuna maradhi.
 
Teh teh teh...Nilishawahi andika hapa na narudia tena...

Hao wenye vitambi ndio watamu haswa na raha kweli kuwa nao...

Ile shughuli ya kuitafuta mbunye, inayofanywa na abdalla kichwa wazi inanoga mno...

Yaani unakuta mara abdalla kagonga kitovu mara kagonga uvungu wa tumbo...halafu mwishoooni ndio anazama mahali penyewe....
😂😂😂😂😂😂😂
 
Hahaha hahaha
Wewe ushajikubali bana! Mimi nisipochomekea sioni utamu wa suruali ama miniskirt... Imagine uchomekee na kitambi!.
Jitahidi bana
Hahah Gemini kumbe una flat tummy,,,hongera sana mama
 
Hvi Utumiaji wa Sukari nao ni hatari kwa unene??
Yeah hatari kweli kweli hasa processed sugars kama za soda ndio noma ukiacha zile za beer zinazotokana na wanga.
Ndio maana wanaokula beer na nyamachoma wanapata vitambi sana.

Hata mie changu kilianza kuja baada ya kujibidiisha kugida serengeti lite na nyamachoma. Asubuhi naamkia supu ila sasa nimejitahidi kujiondoa kwenye ratiba hio mambo sio mabaya. Futa linakatika taratibu na usiku sili sana nakula mboga nyingi chakula kidogo.
 
Hapo hujakosea kuhusu ulaji wa mwezi mtukufu
Watu wanashindana kupika badala ya kushikamana na ibada zaidi
. Kila mmoja anaonyesha mapishi na mwisho wa siku anamwaga
Halafu anasubiri apate thawabu
Wengi wanatwanga maji tu
Na kunenepa
Unakuwaje na kitambi?
Wanafuturisha bana
 
Mzee Baba mie Nyama choma na kitimoto zinaangusha sana jitihada zangu za kupunguza kitambi..

Nimejitahidi sana ku control masuala ya Ma beer na Soda ila hzi Nyama karibia kila siku aisee.
Yeah hatari kweli kweli hasa processed sugars kama za soda ndio noma ukiacha zile za beer zinazotokana na wanga.
Ndio maana wanaokula beer na nyamachoma wanapata vitambi sana.

Hata mie changu kilianza kuja baada ya kujibidiisha kugida serengeti lite na nyamachoma. Asubuhi naamkia supu ila sasa nimejitahidi kujiondoa kwenye ratiba hio mambo sio mabaya. Futa linakatika taratibu na usiku sili sana nakula mboga nyingi chakula kidogo.
 
Back
Top Bottom