SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,077
- 13,951
Alafu hawavipendi kabisa vitambi hata kidogo. Na wanateseka kuviondoa.
Nilikuwa namsikitikia demu wangu mmoja hivi; alikuwa anashinda amevaa limkanda asubuhi hadi jioni. Analivua jioni akija geto hadi namhurumia.
Nilimuuliza; unatumia mkanda wa kuondoa kitambi lakini haufanyi mazoezi na bado unatumia chips yai kama kawa!
Nilikuwa namsikitikia demu wangu mmoja hivi; alikuwa anashinda amevaa limkanda asubuhi hadi jioni. Analivua jioni akija geto hadi namhurumia.
Nilimuuliza; unatumia mkanda wa kuondoa kitambi lakini haufanyi mazoezi na bado unatumia chips yai kama kawa!
Nawasalimu
CAG naona hili hajaliona yaani sijui kuna shida gani..Nichukue nafasi hii kuwashauri maana mimi ukiwa na kitambi nakupiga chini.
Kuleni kistaarabu sasa unatoka na mamzi anaagiza chipsi mayai mishaki mitatu sosegi mbili na kuku nusu anasema afungiwe seriously..
Aya kama haotoshi mnatoka apo bidada unakuta anapiga bia zaidi yako..no way lazima likitambi lije..Alafu bora angekuwa anafanya mazoezi.
Msipoolewa mnasema hamna bahati.Badilikeni bhana la sivyo mtaishia kuzalishwa na kuachwa.