Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,828
Wale ndugu wa kule kwenye mlima mrefu afrika ambao wana sura nzuri sana lakini nyuma wamepigwa pasi, wapo kwenye kundi lipi ?Wanawake wamegawanyika into 2,pear and apple shape
Wale ndugu wa kule kwenye mlima mrefu afrika ambao wana sura nzuri sana lakini nyuma wamepigwa pasi, wapo kwenye kundi lipi ?Wanawake wamegawanyika into 2,pear and apple shape
Ok maji yawe ya uvuguvugu kiasi kisha una kamulia ndimu unapima kwenye grass moja kabla hujatumia chakula chochote asubuhi bila kusahau mazoezi.Natumia ujuzi wa ziada
Nyama haina shida, maana inaweza cheza part ya wanga kuna namna inatengeneza nishati pia.
Haahahahaahahahah pm ilizidi kujaa maji imebidi niondoe tu mkuu hakuna namnaMama umeonesha kutojiamini kiasi hiko, hebu rudisha miguu iyo dp upesi! Achana na wanaodiss si tumeipenda wenyewe ile
Nimetania tu ....nakupa siri usimwambie mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani nawe ni afisa mirindimo?
Sawa mamyBest usiishi kwa matakwa yao hapa jamiiforum kuna viumbe inatakiwa uwadharau mpendwa
Sitaki kujimu moja kwa moja,good ex. Ya pear body shape ni most somalis,tutsi and ethiopians.Wale ndugu wa kule kwenye mlima mrefu afrika ambao wana sura nzuri sana lakini nyuma wamepigwa pasi, wapo kwenye kundi lipi ?
Ushindwe na ulegee. Ili bili ije ndogo?Sasa nyie mkiwapeleka bar cha kwanza mchemsho wa kuku na castle lite unategemea nini?
Wabadilishieni menu anzeni kuwapa...chai ya rangi na mihogo ya pilipili.
Hahahah ni kweli changamoto ipo kwa sababu vyakula vya protien kama nyama na maharage ndio common zaidi ila kinachopendwa zaidi ni nyama ambayo ni very expensive.Kaka nimekuelewa Ila sasa katika Jamii zetu hzi tunawezaje kuepuka vyakula vya wanga maana ndio vimejaa kila kona...
Mtu anaweza kujitahidi kula mboga za Majani na matunda Ila wanga lazima tu utazidi na maisha yetu haya dah,Kuna muda diet ni ngumu mno kuzifuata aisee.
Kaka shemeji kwanini unapotea hivyo?Ukikuwa mkubwa utaelewa namna sahihi ya kudeal na vitambi.
Utaacha wangapi? Paka lin
Hahahah uje uninong'oneze kuleNimetania tu ....nakupa siri usimwambie mtu
🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️Sasa nyie mkiwapeleka bar cha kwanza mchemsho wa kuku na castle lite unategemea nini?
Wabadilishieni menu anzeni kuwapa...chai ya rangi na mihogo ya pilipili.
Pia hatari zaidi ipo kwenye vyakula vya kawaida tu kama chapati,mandazi, wali, ugali na ndiyo vyakula vikuu vya watanzania.
Bidada asubuhi anapiga chai na chapati 3 na mandazi 2, mchana ugali mkubwaa mboga kidogo, usiku wali sahani 2 hadi anashindwa kuhema alafu dakika 20 baada ya kula anaenda kulala.
Cha msingi watanzania wajifunze kula kwa nidhamu, wengi ni waroho hasa wanawake.
Mtindo wa maisha ndiyo coz, zamani watu wengi walitembea hata mijini esp. toka vituoni mwa daladala kwenda home sasa pikipiki zimeongeza problems.tumekuwa kama kitimoto bandani lazima ufule tuHivi ni kweli vitambi kwa akina dada vinaletwa na chips tu?
Mbona kwa sasa kila sehemu vitambi vinaongezeka kwa speed ya hatari.
hahhahha... kabisa MkuuKwa hiyo kwa mwanamke kitambi ni mwizi wa tako ..[emoji851][emoji851] ?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Hahahah uje uninong'oneze kule
Kitambi ni NOMA pande zoteKama me wanavitambi itakuwaje ke akose vitambi;tujitahidi kuepuka vyakula vinavyoongeza mafuta mwilini,mazoezi kwa sana n.k