Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

Vitambi vitaisha pale serikali itakapopiga marufuku ulaji wa chips ovyo ovyo.
Pia hatari zaidi ipo kwenye vyakula vya kawaida tu kama chapati,mandazi, wali, ugali na ndiyo vyakula vikuu vya watanzania.
Bidada asubuhi anapiga chai na chapati 3 na mandazi 2, mchana ugali mkubwaa mboga kidogo, usiku wali sahani 2 hadi anashindwa kuhema alafu dakika 20 baada ya kula anaenda kulala.

Cha msingi watanzania wajifunze kula kwa nidhamu, wengi ni waroho hasa wanawake.
 
Pia hatari zaidi ipo kwenye vyakula vya kawaida tu kama chapati,mandazi, wali, ugali na ndiyo vyakula vikuu vya watanzania.
Bidada asubuhi anapiga chai na chapati 3 na mandazi 2, mchana ugali mkubwaa ndogo kidogo, usiku wali sahani 2 hadi anashindwa kuhema alafu dakika 20 baada ya kula anaenda kulala.

Cha msingi watanzania wajifunze kula kwa nidhamu, wengi ni waroho hasa wanawake.
Umesahau na Mirinda nyeusi au Pepsi big
 
We huoni hapa JF Wanaishia tu kupiga picha miguu...
Sijui wanatangaza biashara za viatu..!??

Figure ya juu kama wacheza SUMO...!!!!!!

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kwahiyo labda ulikua unatakaje maana naona miguu ya watu imekuuma kama nini
 
Sasa nyie mkiwapeleka bar cha kwanza mchemsho wa kuku na castle lite unategemea nini?

Wabadilishieni menu anzeni kuwapa...chai ya rangi na mihogo ya pilipili.
Khaaaa huu ni ukatili pili pili.
 
Wanaume asili yetu wala haishangazi... mi hua nashangaa wanawake wa kizungu unakuta anawatoto wakubwa kabisa lkn ukimuona kama hajawahi kujifungua yupo smart kila kona labda kovu la kuongezwa njia tu ila mwanamke wa kibantu akishazaa tu basi anakua bibi
Matunzo yanachangia we mtu umetoka kujifungua una mawazo gunia nzima kingine baadhi ya wanawake wengi hatuna utamaduni wa kufanya mazoezi.
 
Back
Top Bottom