Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

Kitambi ni asili ya mtu kwanza sikuhizi sio wanawake tu hadi wanaume matumbo kama vifurushi
Mwanaume kua na kitambi hiyo imekaa sawa kimaumbile, lakini mwanamke kua na kitambi ni dosari kimaumbile. Yale mafuta kwa mwanamke yanatakiwa yakae kwenye hipsi na makalio ila kwa konfyusheni yanaenda tumboni kufanya kitambi kimakosa. Mwanaume yeye wese likikaa mbele ni sawa kabisaa ila sasa ikitokea konfyusheni wese linaenda kwenye makalio kimakosa.
Ni vema kutafuta wataalamu wa afya shida hii inapojitokeza lakini kabla ya yote tule chakula kiafya.
 
Wanaume asili yetu wala haishangazi... mi hua nashangaa wanawake wa kizungu unakuta anawatoto wakubwa kabisa lkn ukimuona kama hajawahi kujifungua yupo smart kila kona labda kovu la kuongezwa njia tu ila mwanamke wa kibantu akishazaa tu basi anakua bibi
Hatujui namna ya ulaji ndo shida kufukia kwa sana...elimu ya lishe inahitajika
 
We huoni hapa JF Wanaishia tu kupiga picha miguu...
Sijui wanatangaza biashara za viatu..!??

Figure ya juu kama wacheza SUMO...!!!!!!

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kuna mmoja alinipostia sura, ni kigongo acha utani, sasa juzi tunachati WhatsApp nikampigia video call, aisee..., hata mcheza sumo ni English figure.
Anyway wajiangalie kwenye msosi pia wapate mazoezi madogo madogo itasaidia...
 
Wanaume asili yetu wala haishangazi... mi hua nashangaa wanawake wa kizungu unakuta anawatoto wakubwa kabisa lkn ukimuona kama hajawahi kujifungua yupo smart kila kona labda kovu la kuongezwa njia tu ila mwanamke wa kibantu akishazaa tu basi anakua bibi
Khaaa minyamanyama ya tumbo aipendezi
 
Hatujui namna ya ulaji ndo shida kufukia kwa sana...elimu ya lishe inahitajika
Tumebahatika kua na smart phone hautaji kwenda Maktaba kuu ya taifa kuperuzi vitabu tumieni simu vizuri zina manufaa mengi utajifunza kila kitu ulaji mzuri, aina ya vyakula vyenye tija mwilini, Mazoezi ya kuondoa mafuta, kupanga ratiba ya siku yako hadi wiki unakua makini na smart
 
Personality ile bwana, boss wangu ndo anasemaga hiyo!
Kitambi akiwa nacho mmama huwa naona wanapendeza hasa akiwa mrefu halafu ajazie nyuma!

Wadada bana, kitambi sio mpango! Ila sijawahi ona mdada haolewi sababu ya kitambi!
 
We huoni hapa JF Wanaishia tu kupiga picha miguu...
Sijui wanatangaza biashara za viatu..!??

Figure ya juu kama wacheza SUMO...!!!!!!

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
kwahiyo umeamua kumsema demiss?
 
Back
Top Bottom