agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
Hapana kitambi sio kizuri kwa woteMwanaume kua na kitambi hiyo imekaa sawa kimaumbile, lakini mwanamke kua na kitambi ni dosari kimaumbile. Yale mafuta kwa mwanamke yanatakiwa yakae kwenye hipsi na makalio ila kwa konfyusheni yanaenda tumboni kufanya kitambi kimakosa. Mwanaume yeye wese likikaa mbele ni sawa kabisaa ila sasa ikitokea konfyusheni wese linaenda kwenye makalio kimakosa.
Ni vema kutafuta wataalamu wa afya shida hii inapojitokeza lakini kabla ya yote tule chakula kiafya.