Andy Da Inc
Senior Member
- Mar 2, 2015
- 134
- 230
Usisahau na wimbi la wanaume tusio na kipato linaongezeka pia,wanawake pia wanatuchukia kinyamaaa.sasa ili tuwe ngoma droo tufanye hv mkuu,wew mpende mwenye kitambi halaf muhamasishe mazoezi,hapo utakuwa umechukua gari lisilopendwa hvyo utakuwa peke yako,huyo unaemuona umbo liko fresh ujue hata mm nimemuona na niko nae,ingawaje najua na John mchoma chips,Jack dereva wa bajaj na Yusuph dereva tax wote katumiliki,angalia hyo chain halafu jifunze kuandaa chako kwa jinsi upendavyoWakuu
Wimbi la ongezeko la wanawake wenye vitambi linaongezeka kwa kasi sana zaidi hata ya speed ya treni ya standard gauge
Wanawake wenye vitambi kiukweli hawana mvuto kwangu na kwa wanaume wengi hapa jijini kwani vitambi vimewapelekea kuwa ni wanawake mizigo kitandani yaani wamekuwa zaidi ya furushi
mwanamke na kitambi yaani ukimuona huwezi jua kiuno kimeanzia wapi na kinaishia wapi zaidi kitumbo mbele tu
tumbo la mimba ni zuri na linampangilio wake wa kuvutia tofauti na haya ma-iregular tumbo
mwanamke na kitambi hawezi kuzungusha kiuno na kulikatikia dushe anapopewa njukuti kunako 6*6
naomba niweke wazi, kama unajiona ni mwanamke na unalikitambi...please kaa mbali na Once set
Napita tuuu mkuuu