Wanawake wenye vitambi mnipite mbali kabisa

Wanawake wenye vitambi mnipite mbali kabisa

Hawana mvuto wa kimapenzi kabisa unakuta kalala chali tumbo limevimba kama Lodi Lofa afu nyapu ipo mbalii ukimpandia juu atakuhemea kama anataka kufa huku akijamba mfululizo. Chanzo tumbo kubwa ni kula kama Mchwa huoni kitu mbele yako unabugia maziwa mtindi maziwa fresh viporo, mahindi ya kuchoma na nk

#bamia_ndefunene
 
Sasa Mkuu vitambi vyetu vinakuhusu nini, kwani umelazimishwa uwachukue wenye vitambi, kitambi cha mwingine kuumia uumie wewe,kuna wenzako wanavipenda ujue, halafu mara nyingi nyie mnaokosoaga vitu ndio wahanga wakubwa,kama sio mkeo ana kitambi basi gf wako ana kitambi, na ww pia unacho au una kibamia, tupishe sie na vitambi vyetu kwa raha zetu
hakuna raha ya kitambi mkuu, ni ugonjwa huo.... wauzaji wa dawa ndo wanalielewa vizuri hili.... obese, diabetes na hypertension zinakuja kasi sana siku izi .. na sababu kubwa ni mfumo wetu wa maisha.
afu wenzenu wa ng'ambo mtu kuitwa tu mnene ni tusi... nyie mnashangilia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wenyewe hatupendi lakini ndio hatuna jinsi hatujajiumba wenyewe
fanyeni mazoezi ya kawaida, ndo pekee yanapunguza uzito na kukuacha salama...
ukizoea mazoezi ni kitu kizuri sana na cha kufurahisha sana...
complication za overweight ni nyingi na zinakera nje ya alizozisemea mleta uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom