Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Bwawa la mtera
Bwawa la mtera
Vibamia utawajua tu maana c kwa povu hahahahahahbwawa uyo
Usisahau na wimbi la wanaume tusio na kipato linaongezeka pia,wanawake pia wanatuchukia kinyamaaa.sasa ili tuwe ngoma droo tufanye hv mkuu,wew mpende mwenye kitambi halaf muhamasishe mazoezi,hapo utakuwa umechukua gari lisilopendwa hvyo utakuwa peke yako,huyo unaemuona umbo liko fresh ujue hata mm nimemuona na niko nae,ingawaje najua na John mchoma chips,Jack dereva wa bajaj na Yusuph dereva tax wote katumiliki,angalia hyo chain halafu jifunze kuandaa chako kwa jinsi upendavyo
Napita tuuu mkuuu



Kwani we unacho..!
Nakunywa chai mkuu,nilipie n tsh 50
Mkuu TUMBO si KITAMBI....naweka sawa KAULI YAKO,,Mkitaka wasio Na matumbo date nyoka. Sisi wengine tuacheni tuslay na jojoba tanks zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
pole mkuuuVibamia utawajua tu maana c kwa povu hahahahahah
mkuu hili ni tangazo, vp ulifanikisha kuwapata?Eeenh we ndio hujui basi, hao wenye vitambi ndio wenyewe...
Ukimlalia juu ule upepo wa tumbo unatawanyikia kwenye papuchi huko, inaifanya papuchi iwe imetunatuna hivi raha burdaaani....
Burdani nyingine ni kwenye ule mshikemshike wa kutafuta papuchi ipo longityudi na latityudi gani, mara umeweka kwenye kitovu mara umeweka pale...teh teh!!!
Unataka nikugawie?mkuu hili ni tangazo, vp ulifanikisha kuwapata?
hapana mkuu nilihitaji taarifa tuUnataka nikugawie?




jiwe limekupata!
pole sana mkuu, fanya mazoezi kata wese na kitambi iko
hapana mkuu nilihitaji taarifa tu