Wanawake wenye vitambi mnipite mbali kabisa

Wanawake wenye vitambi mnipite mbali kabisa

Sasa Mkuu vitambi vyetu vinakuhusu nini, kwani umelazimishwa uwachukue wenye vitambi, kitambi cha mwingine kuumia uumie wewe,kuna wenzako wanavipenda ujue, halafu mara nyingi nyie mnaokosoaga vitu ndio wahanga wakubwa,kama sio mkeo ana kitambi basi gf wako ana kitambi, na ww pia unacho au una kibamia, tupishe sie na vitambi vyetu kwa raha zetu
 
Sasa Mkuu vitambi vyetu vinakuhusu nini, kwani umelazimishwa uwachukue wenye vitambi, kitambi cha mwingine kuumia uumie wewe,kuna wenzako wanavipenda ujue, halafu mara nyingi nyie mnaokosoaga vitu ndio wahanga wakubwa,kama sio mkeo ana kitambi basi gf wako ana kitambi, na ww pia unacho au una kibamia, tupishe sie na vitambi vyetu kwa raha zetu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eeenh we ndio hujui basi, hao wenye vitambi ndio wenyewe...

Ukimlalia juu ule upepo wa tumbo unatawanyikia kwenye papuchi huko, inaifanya papuchi iwe imetunatuna hivi raha burdaaani....

Burdani nyingine ni kwenye ule mshikemshike wa kutafuta papuchi ipo longityudi na latityudi gani, mara umeweka kwenye kitovu mara umeweka pale...teh teh!!!
Heee jamani umejua kunichekesha kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitambi na kibamia....................... bora kitambi ataondoa sasa wewe wa kibamia utafanya je? maana hata kurefuka ikirefuka sana mno inakuwa kama kidole cha mwisho na kama pia unakibamia lazima ukiogope kitambi
Naona mmeanza kujiami mapema kabisa..

Nanaa
 
Mkuu nakuhakikishia wanawake wenye vitambi hawavipendi hata kidogo ni vile tu wanapenda kula kula hovyo na hawataki/hawawezi kufanya mazoezi consistently.

Sent using Sukhoi Su-57
Wanawake wa kiafrika wavivu na wazembe sana wa mazoezi kiasi kwamba wanatafuta hadi dawa za kuondoa kitambi just kwa dawa tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom