General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Hivi kitambi kinaumbwa au kinatengenezwa?Mkuu wenyewe hatupendi lakini ndio hatuna jinsi hatujajiumba wenyewe
Hahahahaaa. Nnacho eti 🙈🙈😜😜
Mie naona kinatengenezwa.
Weka picha tuone ni vitambi vya aina gani unaongelea mkuuWakuu
Wimbi la ongezeko la wanawake wenye vitambi linaongezeka kwa kasi sana zaidi hata ya speed ya treni ya standard gauge
Wanawake wenye vitambi kiukweli hawana mvuto kwangu na kwa wanaume wengi hapa jijini kwani vitambi vimewapelekea kuwa ni wanawake mizigo kitandani yaani wamekuwa zaidi ya furushi
mwanamke na kitambi yaani ukimuona huwezi jua kiuno kimeanzia wapi na kinaishia wapi zaidi kitumbo mbele tu
tumbo la mimba ni zuri na linampangilio wake wa kuvutia tofauti na haya ma-iregular tumbo
mwanamke na kitambi hawezi kuzungusha kiuno na kulikatikia dushe anapopewa njukuti kunako 6*6
naomba niweke wazi, kama unajiona ni mwanamke na unalikitambi...please kaa mbali na Once set
Bora hata umesemaKitambi na kibamia....................... bora kitambi ataondoa sasa wewe wa kibamia utafanya je? maana hata kurefuka ikirefuka sana mno inakuwa kama kidole cha mwisho na kama pia unakibamia lazima ukiogope kitambi
Hahaaaa. Nakazia.
Hahahahahaahahah angeweka kapicha ka ushahidi maana vipo vya aina nyingiHahaaaa. Nakazia.
Hivi upo kweli we Mdada?
Kabisaaa.Hahahahahaahahah angeweka kapicha ka ushahidi maana vipo vya aina nyingi
Nipo mumy.... Za masiku?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia nimefurahi zaiidiKabisaaa.
Nzuri kabisa mwaya. Nimefurahi kukuona.
Haya mwaya ngoja tusubiri hizo picha angalau tupate kujiona tunasimamia wapi. 🙈🙈🙈
Mazoezi ya kuondoa kitambi si shughuli ndogo tena kikiwa kitambi kikubwa inaweza kuchukua hata mwaka na Mazoezi ya mfululizo bila kuacha,Hapa ndipo inakuwa ngumu watu kuyamudu na kuona bora wabaki na vitambi vyao kuliko mazoezi..Mkuu kitambi ufanye mazoezi kisipungue maajabu.
Ni kweli mkuu watu wengi hawapendi kufanya mazoea ila wanahitaji kuondoa kitambi mwisho wanatumia njia ambazo ni hatari kwa afya.Mazoezi ya kuondoa kitambi si shughuli ndogo tena kikiwa kitambi kikubwa inaweza kuchukua hata mwaka na Mazoezi ya mfululizo bila kuacha,Hapa ndipo inakuwa ngumu watu kuyamudu na kuona bora wabaki na vitambi vyao kuliko mazoezi..
Yan tumbo ni sehemu korofi sana kupungua aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu jaribu mazoezi KwanzaHivi unadhani hivi vitambi tunavipenda? ......
Jamani anayejua namna ya kupunguza tumbo kwa njia za asili anielekeze mi staki kufunga mkanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambi kinaondoka ila tu inahitaji kujitoa kweli sio unafanya mazoezi ya tumbo wiki moja halafu unaacha,Ni kweli mkuu watu wengi hawapendi kufanya mazoea ila wanahitaji kuondoa kitambi mwisho wanatumia njia ambazo ni hatari kwa afya.
😂😂😂Eeenh we ndio hujui basi, hao wenye vitambi ndio wenyewe...
Ukimlalia juu ule upepo wa tumbo unatawanyikia kwenye papuchi huko, inaifanya papuchi iwe imetunatuna hivi raha burdaaani....
Burdani nyingine ni kwenye ule mshikemshike wa kutafuta papuchi ipo longityudi na latityudi gani, mara umeweka kwenye kitovu mara umeweka pale...teh teh!!!