Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,367
Itakuwa huwajui vizuri watu hapa kwi kwi kwi
ww unawajua hao??
Itakuwa huwajui vizuri watu hapa kwi kwi kwi
Aaagggrrrr wasinilie unit zangu mie
huo muda wa kufatilia mtu si bora nkafanye....
hakunipa wala hajajua mi nilipokosa usingiz nilitafuta cha kufanya nikajikuta nina simu yake ndo nikapembua kama si kuperuz
hahahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!! acha nicheke kama mazuri kuna mbongo fleva mmoja aliimba ubinadamu kazi! ukiwajua hawakusumbui!
Sista wa chekecheaa au wa hospitaliniu hebu dadavuaaa
Jamaa yangu yupi wa insta, fesibuku, jf au watsapp?
pole wakati mwingine itakuletea shida hiyo...'usijikute' tu unashika simu ya mwenzio kama hamna mazoea hayo
pole wakati mwingine itakuletea shida hiyo...'usijikute' tu unashika simu ya mwenzio kama hamna mazoea hayo
ww unawajua hao??
yule wa jf mliyekuwa mnachat juzi kat halafu jamaa anasema kakuzimia mbaya sjui umemkumbuka vizr teh teh teh
Ndio ujuee kupendwaaa rahaaaa achaaaa Mwanaume na akili zakee hawezii tu akapendaa hataa hakujuii hata ungemtumia picha za K yakoo atakuonaa bogaa tuu,lol usiemdhania kumbee ndiee lol
hapooooo chacha kwenye picha umenikumbusha nilichekaje watu wanajitaid kuweka pozi za tofaut !!!!!! feel sorry for them kwa jitihada zao
Aaagggrrrr wasinilie unit zangu mie
huo muda wa kufatilia mtu si bora nkafanye....
Yule member, senior expert member,premium member au yule ambae hajaweka avatar?
We mwenyewe unawajuaaaa
hapooooo chacha kwenye picha umenikumbusha nilichekaje watu wanajitaid kuweka pozi za tofaut !!!!!! feel sorry for them kwa jitihada zao
Hata humu wamo wanajifanya wameolewaa lakin malayaa tu