Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,700
- 68,716
yap! Hebu dadavua ni nan huyo anayevizia vya wenzake?? Teh teh teh!
Sheria za Jf zinazuiaa na tukiwataja hapaaa hutaaminii bora fisi anaeliaa kuliko alienyamaza kimyaaaa utachokaaaa
yap! Hebu dadavua ni nan huyo anayevizia vya wenzake?? Teh teh teh!
hahahaaaaa! Inaoneshwa uliwahi kukumbwa na hayo mambo....... Hapo ndio ujue kuwa mwanaume kama alivyo kiumbe mwingne ni dhaifu kwahyo anaweza kunasa kwenye mtego huo kwa namna moja au nyingne..... Tuombeane tu hlo pepo lipitie mbali
niliona nikanyamaza! nililikemea hilo pepo lipite mbali kbs, sasa nakemea hilo lako la joto lishuke liwe baridi!ukitegwa usitegeke namsaidia wifi!
niliona nikanyamaza! nililikemea hilo pepo lipite mbali kbs, sasa nakemea hilo lako la joto lishuke liwe baridi!ukitegwa usitegeke namsaidia wifi!
Sheria za Jf zinazuiaa na tukiwataja hapaaa hutaaminii bora fisi anaeliaa kuliko alienyamaza kimyaaaa utachokaaaa
Tulizeni vidude vyenu kwenye ndoa zenu...
hahahaaaaaaaa! We mkaree, utakuwa umenisaidia sana. Lakn naona kama ni vigum kwasababu wanaume ninaowajua mm unaweza kudhan katulia kumbe amebadlisha staili ya uchezaji badala ya pm, fb, whatssap na sim msg sasa anacheza na note book na lain mpya usioijua ww
kweli simba mwendapole...... Lakin yawezekana hakujua kuwa anayemnyemelea ni mume wa ntuu kwahyo tusimlaum sana
hayo yapo na huwez kumchunga mtu na wapo wapole ni kama wewe mpolee ila unachepuka uwongo?ni vzr ukawa unafaham aina ya mtu uliyenaye ujue unakaaje yeye acheze ngoma zote ila nikipata nafasi nitajua!
Sio tabia nzuri mtoto wa kike kushobokeaa mwanaume hata haumjuiiiii bora hataa kama mnaonana face to face
umesema kweli bidada, kuna siku tulikwaruzana na MR sikupata usingizi nikachukua cm yake nikaingia jf nadhani alisahau ku log out,aisee nikawa nasoma PM zake nilichoka yani wale mastaa wa jf wanajilengesha rahisi huwa nikisoma coment zao naishia kucheka!
hayo yapo na huwez kumchunga mtu na wapo wapole ni kama wewe mpolee ila unachepuka uwongo?ni vzr ukawa unafaham aina ya mtu uliyenaye ujue unakaaje yeye acheze ngoma zote ila nikipata nafasi nitajua!
oops ww enhance mlikwaruzana kisha ukapata muda wa kushika simu yake /I mean akakua simu yake uperuz JF?
Itakuwa huwajui vizuri watu hapa kwi kwi kwilakin ataanzaje kujipendekeza wakat hawajuan na huenda wapo mikoa tofauti?? Hvi linawezekana hilo?
wewe uyo.....haaa lakini hivi kweli hili swali gani ameleta mleta 'mada'?