Wanawake wengine .......

Wanawake wengine .......

Inakuwaje mke wa mtu, anajilengesha kwa mwanaume aliye na mke. Kisha mwanamke anamwekea sharti jamaa kuwa lakini yeye (mwanamke) eti hapendi kushea ilhali yeye mwenyewe ana mume.....!!!
ina maana huna makofi ya emergence....mtu anaongea kitu cha hivyo halafu unavumilia?
 
panya wanategua mitego na wanaikwepa iweje nyie iwashinde?

ww acha kufananisha panya na nguvu ya papuchi...... Papuchi inasumaku kwa mwanaume kama vile ya chatu kwa mbwa.aisee acha kabisa ile kitu kama huamini muulize lara 1 anavyovuta waume za watu
 
Last edited by a moderator:
ww acha kufananisha panya na nguvu ya papuchi...... Papuchi inasumaku kwa mwanaume kama vile ya chatu kwa mbwa.aisee acha kabisa ile kitu kama huamini muulize lara 1 anavyovuta waume za watu

sioni kitu kinachoweza kushinda maaumuzi yako!tena kwa mke wa mtu na amejilengesha mwenyewe hustuki lo! na we pia una mke!!!!!
 
Last edited by a moderator:
sioni kitu kinachoweza kushinda maaumuzi yako!tena kwa mke wa mtu na amejilengesha mwenyewe hustuki lo! na we pia una mke!!!!!

unauliza jibu...... Labda nikuulize ww ni KE au ME?
 
Hata humu wamo wanajifanya wameolewaa lakin malayaa tu

umesema kweli bidada, kuna siku tulikwaruzana na MR sikupata usingizi nikachukua cm yake nikaingia jf nadhani alisahau ku log out,aisee nikawa nasoma PM zake nilichoka yani wale mastaa wa jf wanajilengesha rahisi huwa nikisoma coment zao naishia kucheka!
 
umesema kweli bidada, kuna siku tulikwaruzana na MR sikupata usingizi nikachukua cm yake nikaingia jf nadhani alisahau ku log out,aisee nikawa nasoma PM zake nilichoka yani wale mastaa wa jf wanajilengesha rahisi huwa nikisoma coment zao naishia kucheka!

Mi hua nawapimiaa tuu halaf mtu anakusemaa Pm yaan hajuii kama unamchoraa ,kujipendekeza kwa wanaumee wa watu lakin hapa wapo kimyaaa hahhhhhhahhhhahhhahhha
 
Mi hua nawapimiaa tuu halaf mtu anakusemaa Pm yaan hajuii kama unamchoraa ,kujipendekeza kwa wanaumee wa watu lakin hapa wapo kimyaaa hahhhhhhahhhhahhhahhha

ndo mana hajatokea kwenye huu uzi aiseeeee!
 
sijauliza nimekushangaa kama una mke afu unabebwa na upepo kirais hivyo!!!! kikija kimbunga itakuwaje? me ke.

ok! Basi sitaendeleza majibizano. Kwasababu ntakuwa naongea na mtu ambaye halijui joto bali analijua baridi kwahyo mtu kama huyo kumfahamisha namna joto lilivyo ni ngum kukuelewa...... Nafikir ungekuwa me usingebisha kiivyo
 
Mi hua nawapimiaa tuu halaf mtu anakusemaa Pm yaan hajuii kama unamchoraa ,kujipendekeza kwa wanaumee wa watu lakin hapa wapo kimyaaa hahhhhhhahhhhahhhahhha

lakin ataanzaje kujipendekeza wakat hawajuan na huenda wapo mikoa tofauti?? Hvi linawezekana hilo?
 
ok! Basi sitaendeleza majibizano. Kwasababu ntakuwa naongea na mtu ambaye halijui joto bali analijua baridi kwahyo mtu kama huyo kumfahamisha namna joto lilivyo ni ngum kukuelewa...... Nafikir ungekuwa me usingebisha kiivyo

hahahaha!!!!!!!!!!! umenchekesha kwel kwa taarifa yako navojua vyote barid,joto na hasira!
 
lakin ataanzaje kujipendekeza wakat hawajuan na huenda wapo mikoa tofauti?? Hvi linawezekana hilo?

huko pm ndo tunajua nani nani anatokea wapi anafanya nini, distance sio issu sana makubaliano! kwa ufupi wanaanza na kumsifia ooh mara unachangia vzr, nimependa avatar yako mengine yanafuata hahahaha! lol nikikumbuka nacheka mwenyewe!
 
huko pm ndo tunajua nani nani anatokea wapi anafanya nini, distance sio issu sana makubaliano! kwa ufupi wanaanza na kumsifia ooh mara unachangia vzr, nimependa avatar yako mengine yanafuata hahahaha! lol nikikumbuka nacheka mwenyewe!

hahahaaaaa! Inaoneshwa uliwahi kukumbwa na hayo mambo....... Hapo ndio ujue kuwa mwanaume kama alivyo kiumbe mwingne ni dhaifu kwahyo anaweza kunasa kwenye mtego huo kwa namna moja au nyingne..... Tuombeane tu hlo pepo lipitie mbali
 
Hahhhhhahhjhahha aisee umepatiaaaaa kabisaaaaaaa wako hivyooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom