kinyoba
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,267
- 720
habari zenu wanajamii! Kuna hili swala la mwanamke alie katika mahusiano kutongozwa halafu anaenda kumshtakia kwa mpenzi wake! Hii inaweza ikawa ni sawa, ila ninavyojua mimi ni kwamba hapo mwanamke anakua hajakupenda ndo maana ameenda kushtaki na nia hasa ni kutaka kujionyesha kuwa yeye ni muaminifu. Akikupenda kamwe hatamueleza mumewe na itabaki kuwa ni siri yake na ataliwa uroda bila taabu yoyote. Mi navyoona ukutongozwa kaa kimya ni kawaida labda mtu akutongoze kwa kukufanyia fujo na kuwa kero.