Kwa sisi wanawake,mwanamke aliyekamilika 1. Kutongozwa ni kitu cha kawaida 2. Ukishakubakli kuwa ni kawaida utakuwa na uwezo wa kukabiliana na wahusika3. Kwa kuwa unauwezo wa kukabiliana na hali husika,matangazo ya nini?4. Ila pia ikiwa unatongozwa ovyo ovyo,jiangalie upya mwenendo wako...................5. Inapotokea mtongozaji akawa threat (usumbufu wa mara kwa mara labda kwenye simu au kukufuata fuata physically) kwenye mahusiano yako hata baada ya kumpa misimamo yako,mi naona ni ruksa kumwambia mwenza wako.