Tatizo humu ndani tunachukuliana poa aisee. Mali safi kabisa mpyaaa iko hapaπππ and my take on this is that; kujitunza au kuikeep bikra ni kuanzia ndani. Hofu ya Mungu inakuwepo maana kama si kumuogopa Mungu then nini ilikuzuia wewe kwenda lala na mubebez nyingi.
And by the way wengne tuliamua kuwa mabikra because tuliona kutembea na watu ovyoovyo ni kuuchosha mwili na kujichakaza sa yote iyo ya nini....but lazima kahofu ka Mungu kawepo bhana....π
#bikraambassador#