Hizi ndiyo mnaita fursa?Hata wanaune tunapenda wenye fursa(Nyashi,Sura,Matiti)!
Hii hoja ipo katika mfumo wa kujitetea na si katika ukweli harisi, badilikeni nyie wadada wa mjini mnahangaisha mioyo ya vijana mitaani.Wanaume wakifanikiwa wanakukimbia wanatafuta warembo wa mjini sasa.. unarudi zako kuanza upya na masikini mwingine
Kwenye 'matiti' hapo mkuu nitaomba ufafanuzi kidogo!Hakuna mtu anayetaka mahusiano na mtu asiye na fursa AKA kipato!Hata wanaune tunapenda wenye fursa(Nyashi,Sura,Matiti)!
Wee hakuna mtu ataongea kitu hana ushuhuda nacho! Unaanza na kamtu kanadalalia viscm kakijipata kakapata biashara kubwa kanakuona kituko! Akhuuu!Hii hoja ipo katika mfumo wa kujitetea na si katika ukweli harisi, badilikeni nyie wadada wa mjini mnahangaisha mioyo ya vijana mitaani.
Kwahiyo nyinyi vituko mnaohangaika kutafuta wanaume waliojipata hamuoni kwamba hao wanaume waliojipata wanawaona kituko zaidi!Wee hakuna mtu ataongea kitu hana ushuhuda nacho! Unaanza na kamtu kanadalalia viscm kakijipata kakapata biashara kubwa kanakuona kituko! Akhuuu!
Kiukweli hata sisi wanaume wenye watoto wa kike , hatupendezwi mabinti zetu wakija olewa na mtu apeche alolo, bila kujalisha kama mimi ni maskini au tajiri.Wanaume wakifanikiwa wanakukimbia wanatafuta warembo wa mjini sasa.. unarudi zako kuanza upya na masikini mwingine🥲
Wenyewe watuone waonavyo! Kwahiyo wote wanaanzia chini? Na waliojipata wote hawapo single wameanza moja na wapenzi wao wa zamani?Kwahiyo nyinyi vituko mnaohangaika kutafuta wanaume waliojipata hamuoni kwamba hao wanaume waliojipata wanawaona kituko zaidi!
Hakuna mzazi anayefurahia hilo jambo! Ni vile tu kuna mabinti wanaforce kuolewa na masikini mzazi anashindwa kuingilia..Kiukweli hata sisi wanaume wenye watoto wa kike , hatupendezwi mabinti zetu wakija olewa na mtu apeche alolo, bila kujalisha kama mimi ni maskini au tajiri.
Wala mzazi hapaswi kuingilia hayo ni maamuzi yake kama mtu mzima , kila mtu anayo haki ya kuchagua apendavyo bila kuvunja sheria za nchi.Hakuna mzazi anayefurahia hilo jambo! Ni vile tu kuna mabinti wanaforce kuolewa na masikini mzazi anashindwa kuingilia..
Hapana na hapo ndipo tunapo ubaini uongo wako, ukweli ni kwamba wanawake wengi ni wenye tamaa na kupenda wanaume wenye uchumi mzuri, hoja ya kwamba masikini huwa anabadilika akijipata na kuwaona wanawake ni makapi haina mashiko wala miguu ya kusimamia.Wenyewe watuone waonavyo! Kwahiyo wote wanaanzia chini? Na waliojipata wote hawapo single wameanza moja na wapenzi wao wa zamani?