Hahaahaaa.Mie mwenyewe sitaki malumbano sawa kila mtu afanye yake
Hyo ndo iko hvo Haina tofaut na ki naKuna miili mingine huwa ya hivyo hivyo awe mnene au mwembamba ni hivyo tu maisha yake, hujawahi kutana na
mtu maisha yake ni magumu hatari lakini yeye mnene vile vile hapungui wala nini
Utafkir n mafuta kumbe n minyookuna mwingine utakuta ananenepa tumbo tu
Haahaaa hao vimbaumbau wanawahi kuolewa na baada ya hapo wanakuwa mabongeOoooh
We husomeki, kule ulikuwa unatuponda vibonge na vitambi vyetu. Huku nako vimbaumbau hutaki
HahahaHaahaaa hao vimbaumbau wanawahi kuolewa na baada ya hapo wanakuwa mabonge
kuzidi hata wale mabonge mwanzo
Ndiyo hivyo sababu kuna mwili mwingine wakawaida tu anakuwa nao sasa huu wakuja hutisha balaaHahaha
Ila wakiamuaga kuwaa mabonge huwa wanatisha jamanii!!
Eewaaaa embu kunywa soda hapo kwa mangiNdiyo kazi yangu jiko lazima, hahaaa
Sorry huy ni mtu wa kawaida au jin?Kama huyu mremboView attachment 746300
Acha watuongezee siku za kuishi.Comments nyingine hucheka na kubaki unashangaa
Hawajui raha ya unene hao,Mkuu hizi mambo hazina formula. Ukienda Europe wadada wanajiua kwa kuwa wanene ilihali hapa bongo dada zetu now wako busy kwenye diet na detox kukata unene.
Selfie tu ndio zimesababisha wadada watamani unene ila wa matako ili wakibinua kiuno aonekane Msambwanda upo - sijui ndio nyumba choo ama thamani ya kondoo mkia!!
Umeonaaaa!!!Hahahahaha. Team vibonge tupo