Wanawake wembamba humpunguzia mume hadhi yake

Hivi mwanamume Mwenye akiri timamu aliesoma mwenye dira Ya kimaisha unaenda kuoa mwanamke kimbau kisa ni msomi au anasura nzuri
Jamani mwanamke mwembamba hawezi kuwa kwenye bonge la nyumba akaonekana ni mama mwenye nyumba huonekana Kama msichana wa kazi tu, unatembelewa na Rafiki yako anaingia sebureni anamkuta kimbau kinapebea kwenye makochi jamani yani ukiwakuta wamekaaa kwenye kochi utadhani ni msichana wa kazi haya sasa aingie kwenye gari mnaenda kanisani anakaaa robo siti yani kuna Wakati unafikiri uko pekeee yako mtu akikuomba rifti ukisimama anafungua mlango wa mbele akidhani uko pekeee yako akifungua walllllaaaa kumbe kuna mtu
 
Akikaa kwenye kiti anaenea
IMG-20180130-WA0000.jpg
 
Tuseme ukweli tu kiafrica mwanamke ni uwe na nyama nyama

Mimi nikiambiwa nichague kati ya mnene shapeless na wembamba km moja ntachagua kibonge shapeless mara mia kuliko wembamba kha mume akigusa abonyee sio kupigwa na ugoko

Kuna mamdogo wangu ni mwembamba alishagakuuuuuula weee lkn hanenepi tabia zake sasa uroho uchoyo mdomo mrefu gubu zake sasa kuvaa mpk ajaladie ukikatiza mbele yake ni misonyo tu ( wivu wa nyama nyama zetu)

Akitaka kwenda kwa mumewe anaomba abakiziwe mkaa jikoni ili aote moto apate joto

Wembamba nauchukia sababu nimeishi nae na niliona mahangaiko yake loh!!! Mumewe ni bonge na akivaa gauni ana shape kumzidi mkewe yaani humo ndani ni mapicha picha wanavyoishi
 
Wanawake wembamba mi nawaonaga kama mistimu tu ya umeme

nikipashana nao hata sigeuki
Pole sana kaka, kwa kutokujua siri ya mtungi. Kwa taarifa yako, Siku utakapoonja kimbaumbau utang'ang'ania kama super glue.
Nyama tamu ni ile yenye mifupa. Supu tamu ni ya mifupa. Kalaga baho.
 
Pole sana kaka, kwa kutokujua siri ya mtungi. Kwa taarifa yako, Siku utakapoonja kimbaumbau utang'ang'ania kama super glue.
Nyama tamu ni ile yenye mifupa. Supu tamu ni ya mifupa. Kalaga baho.
Mmmmmmh wewe utakuwa mwanamke aiseee ili upige bao kiurahisi kunahitajika joto sasa mwanamke mnene joto liko nje nje tu sekunde tu Lakini kimbau mbau hadi uhemeeee na majasho kukupata na usugue saaaana na ukipiga kimoja tu ndio kwishenea
 
Vyanamke vyembamba mimk tabia zao ndo zinanishinda yaan vina roho mbaya, visiran,hasira, bajetiiii ,vivivu ,vinachukia watu ovyo lkn mibonge ya watu haaaaa Raha sana.

Kwanza lilikakaa sebulen huna haja ya kuuliza nani nimama mwenye nyumba ,alafu vibonge vinatia hamasa hata kumtizama tu yaani.

Nmekuunga mkono hoja.
 
Yote Heri. Asiwe mwembamba sana kama Scereton wala asiwe mnene hadi tepetepe kama Kwante ya Wambulu. Ila yote heri maana papuchi ni papuchi huwa inatabasamugi ikiona mzee wa Jicho moja
 
Pia unene una soko vilevile, wapo wanaotafuta nene mpaka wanavaa magodoro kwenye makalio matokeo yake wanapata walio tenge kama kona ya barabara kalio lina pinda
Mh kwani unene na makalio vina uhusiano..kuna mabonge migongo imeunganika na makalio yaani kioni hakipo kabisa..
 
Tatizo Matumbo, wanawake wanene wengi matumbo yameshukaa chini..pia wengi tunawatamani wakiwa ndani ya hayo madela madela ila wakivua nguo miili ina mapingili utadhan fundo za muuwa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom