Wanawake wembamba humpunguzia mume hadhi yake

Wanawake wembamba humpunguzia mume hadhi yake

Utakuwa unajitetea tangu lini chips ikaliwa bila kachumbali? Mwanamke Nyama bhana sasa na hizi mvua utatoa wapi joto usiku ili upate usingizi? Maana kimbau mbau hakina joto mifupa tu
Sio vizuri jamani! [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Huo unene au kutafuta makalio makubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Maana wapo vibonge ambao wamepigwa pasi na wapo wembamba wenye wowowo.
Kama ulivyo wembamba wakuzidi pia unene wa kuzidi upo hapa kinachotakiwa ni neutral , kila kinachozidi sio kizuri basi, kwani hakuna mtu aliye mnene au kanawili na anapendeza!
 
Inategemea bwana!
Akitunzwa vizuri mbona atabadilika tuu mpaka utamkimbia jamanii
 
Mwingine anasema akizaa hata nyonyesha
Maana chuchu ztalala

Kaaz kweli kweli
Ndiyo hivyo kila kitu kina raha zake na karaha zake, kinachotokea mtu anaoa mwembamba mke wapili au mchepuko mnene, fuatilia mwenye mke kimbaumbau afutaye bonge why??????
 
Kuna tofauti kubwa kua mnene na kua na makalio makubwa.
Sasa ndugu useme mie mnene kifua 50 hps 38 utajinasibu wewe mnene hapo si unakaa kati, mf.kifua 38/40 hps 42-46 huona hapo vinaendana
 
Ukisha itwa kimbau mbau hata matako huna na hata Kama wewe ni mwembamba Lakini matako yapo tiiiii wewe unawekwa kwenye kundi la wanene figure
Umeona eee hembu mpe somo kuna wembamba huo mtu akisimama na nguzo ya umeme haonekani
 
Kuna vimbaumbau wengine n kama
Wamridh kwenye ukoo wao

Havinenep hata uvitunze dunia yote
Kuna miili mingine huwa ya hivyo hivyo awe mnene au mwembamba ni hivyo tu maisha yake, hujawahi kutana na
mtu maisha yake ni magumu hatari lakini yeye mnene vile vile hapungui wala nini
 
miafrika haijielewi inatafuta nini kwenye maisha yao. Kama mleta mada, sasa kama umemuoa membamba mpe msosi anenepe
 
Back
Top Bottom