Wanawake wazuri hawafai kuolewa?

Wanawake wazuri hawafai kuolewa?

Wakuu habarini humu ndani..,
Mwenzenu nimegundua kitu kuhusu wanawake wazuri sana na warembo,,hawa watu hawafai kuoa,kwanza asilimia kubwa wanaroho mbaya hawawezi kuishi na ndugu,hawana akili ya maisha,ni Malaya,sio wavumilivu ndani ya ndoa,.wanakasoro nyingi mnoo.

Nilichogundua washkaji wengi wenye wake wazuri ndoa zao zina shida nyingi mnoo.
Ushauri wangu kwa vijana ambao hamjaoa tafadhari kueni makini namabinti hawa warembo ni matatizo makubwa sana ndani ya nyumba.
Wanafaa kabisa kuoa, mambo mengine ni tabia ya mtu, kwamba atajiheshimu vipi akijua yeye ni mke wa mtu. Usumbufu unakuja pale mnapoongozana naye kwenda sehemu, macho ya wanaume wenye kumham, wengine watamminyia macho mbele yako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habarini humu ndani..,
Mwenzenu nimegundua kitu kuhusu wanawake wazuri sana na warembo,,hawa watu hawafai kuoa,kwanza asilimia kubwa wanaroho mbaya hawawezi kuishi na ndugu,hawana akili ya maisha,ni Malaya,sio wavumilivu ndani ya ndoa,.wanakasoro nyingi mnoo.

Nilichogundua washkaji wengi wenye wake wazuri ndoa zao zina shida nyingi mnoo.
Ushauri wangu kwa vijana ambao hamjaoa tafadhari kueni makini namabinti hawa warembo ni matatizo makubwa sana ndani ya nyumba.
UNA UTANI NA WAZEE WA KUOA SHOW OFF BADALA YA KUOA WAKE WEMA?

NGOJA WAJE KUKUTOA ROHO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja 100%, niongezee kidogo;

Wana kiburi,
Ni maslay queen wengine hata kupika hawajui,
Wana imani dhaifu na ndio wanaoongoza kwenda kwa waganga,
Wanapenda wanaume waliofanikiwa hivo huishia kuwa vyombo vya migegedo,
Wengi wana vibuyu kichwani, na asilimia kubwa za content ya iq watoto hurithi kwa mama zao kama unataka kuzaa watoto mabashite kazi kwako!!!
Hahaaaaa hapo pa vibuyu kiboko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuumbiwa uzuri na vigezo vingine km upeo, heshima, maarifa n.k sababu utajiona ww ni sawa na Malaika au Mungu jnc ilivyokuwa kwa shetani kule mbinguni.

So Wanaume wezangu stukeni mapema muwe makini ili mpate wake wema zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
acheni ujinga, warembo waolewe na nani?
hata huyu wa kwako mwenye sura ngumu inakusababisha uchepuke, halafu wakati wa kumla unavuta hisia kwa mrembo, hayo ni mateso

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaoa wanawake wabovu kila kukicha wanachepuka had kuzaa nje huku jf wajifariji. Hamna binadamu anayetaka kitu kibovu never
acheni ujinga, warembo waolewe na nani?
hata huyu wa kwako mwenye sura ngumu inakusababisha uchepuke, halafu wakati wa kumla unavuta hisia kwa mrembo, hayo ni mateso

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom