Weka picha tukujue kama ni mzuriMbona wengine tumeolewa na tunadumu kwenye ndoa zetu
hahahah hupendi kusifiaWanasema kuwa na mwanamke mzuri au kumuoa ni sawa na kupanda miwa karibu na shule ya msingi, lazima iliwe tu,
kwa nini tupigishane presha bure, unajua ukishakuwa na mwanamke mzuri, mrembo muda wote unahisi unaibiwa tu.
Mim uwaambia kuwa siyo wazuri ili wasijione wako hvyo, sipendi kabisa kusifia.
tatizo kuna sambwanda matata unajikuta tu umegeuka kuona uumbaji wa Allahpicha tafadhaliMbona wengine tumeolewa na tunadumu kwenye ndoa zetu
Wewe mzuri sana kumbeMbona wengine tumeolewa na tunadumu kwenye ndoa zetu
Italiwa hiyo miwa mpaka...Kuoa mwanamke mzuri ni sawa na kulima miwa karibu na shule