Bwana uber
Member
- Jul 30, 2018
- 22
- 33
Kabisa mkuu yaani ni tatizo kubwa sanaNaunga mkono hoja 100%, niongezee kidogo;
Wana kiburi,
Ni maslay queen wengine hata kupika hawajui,
Wana imani dhaifu na ndio wanaoongoza kwenda kwa waganga,
Wanapenda wanaume waliofanikiwa hivo huishia kuwa vyombo vya migegedo,
Wengi wana vibuyu kichwani, na asilimia kubwa za content ya iq watoto hurithi kwa mama zao kama unataka kuzaa watoto mabashite kazi kwako!!!
