cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Cariha shtuka, mwanaumebwa jf akikutaka ujue hataki ndoa bali mchezo, wanaogopa warembo kama weww
Cariha shtuka, mwanaumebwa jf akikutaka ujue hataki ndoa bali mchezo, wanaogopa warembo kama weww
Sent using Jamii Forums mobile app
umeongea kweli, Watanzania hasa wanaume ni wengi ni waoga na hawajiaminiWanaoa wanawake wabovu kila kukicha wanachepuka had kuzaa nje huku jf wajifariji. Hamna binadamu anayetaka kitu kibovu never
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wao upstairs wapo emptyHili limewahi kumtokea jamaa mmoja, alioa mwanamke mzuri sana.
Siku za mwanzo mambo yalikuwa safi baada ya kufunga ndoa, kadri muda ulivyozidi kwenda. Jamaa alikiona cha mkata kuni
Mwanamke alifikia hatua ya kumtuma dukani mume wake.
Haikupita muda mrefu ndoa ikavunjika.
ukiona mrembo mwenye akili kama yako nishtueHahaaaaa hamna wakunioa JF humu kitaa nimekosa kabisa si bora niwe sister Mary kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa eti oa mubovu ndo mana walimtolea povu Mc pilipili bure. Uoga dhambi mbayaumeongea kweli, Watanzania hasa wanaume ni wengi ni waoga na hawajiamini
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo ndio nnapokupendea



ukichaguliwa mwanamke mrembo na mrembo ujue ni kisu cha ukwelisio kweli kabisa mkuu, umeongea kwa ujumla sana wakati ni tatizo la ntu na ntu.
mke wangu ana akili ya maisha sana na naamini ni mrembo sana tu...ndiye miss world wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
tena wenye sura ngumu ni nakaya balaaKTK KURA ZA USHINDI HUWA TUNAANGALIA WINGI WA WATU "MAJORITY NUMBER" WALA SIYO KWA MMOJA MMOJA.
SO KWA WINGI WA WAHANGA WALIOKUTWA NA MASWAHIBU KWA KUOA WANAWAKE WAZURI SANA NI WENGI KULIKO AMBAO HAWAJAOA WANAWAKE WAZURI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo ndio nnapokupendeaukichaguliwa mwanamke mrembo na mrembo ujue ni kisu cha ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
acheni ujinga, warembo waolewe na nani?
hata huyu wa kwako mwenye sura ngumu inakusababisha uchepuke, halafu wakati wa kumla unavuta hisia kwa mrembo, hayo ni mateso
Sent using Jamii Forums mobile app
SIYO KILA MWANAMKE MZURI KIMAUMBILE BASI NDIYO TIKETI YA KUOLEWA, WENGINE HUBAKI KUTUMIKA KTK STAREHE TU LKN KTK MAISHA HUWA HAWANA VIGEZO VYA TABIA NJEMA.acheni ujinga, warembo waolewe na nani?
hata huyu wa kwako mwenye sura ngumu inakusababisha uchepuke, halafu wakati wa kumla unavuta hisia kwa mrembo, hayo ni mateso
Sent using Jamii Forums mobile app