Wanawake wazuri hawafai kuolewa?

Wanawake wazuri hawafai kuolewa?

Maisha ni mapambano, ni lini umeona wanajeshi wakienda vitani na lamborghin au ferrari?
Kule wanaenda na vifaru,wakirudi, utawaona mtaani ndani ya harrier, mark x na nyinginezo za aina hiyo.
 
Kizuri huonjwa japo mala moja kujua radha yake,hivyo ukioa mwanamke mzuri tambua lazima waonje utamu wake,japo mm nimegundua siri nyingine kuwa wanawake wazuri wa sura baadhi yao walio wengi K zao ni za hovyo,na wale wanawake wenye sura za kawaida K zao ni mubashara sana,nadhani kwa vile hawatumiki sana na mipini tofauti kama ilivyo kwa warembo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom