RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,836
- 129,745
Sio kila mahali duniani ni muda sawa na ulipo wewe....wengine muda huo usiku...Hongereni Kwa kuwaza ngono asubuhi asubuhi, sie tupo makazini tunajenga taifa. Na tutakapo kuwa matajiri, msituzushie kuwa sie mafreemasons maana hamchelewi. Nyie endeleeni kukata viuno Kama wacheza sindimba
YA AINA YOYOTE ILE