Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,857
- 95,805
Chai umeshakunywa lakini???Jamani mwanamke unatia aibu kukata mauno
hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia
dakika zote umelalaga tu kama gogo,.Mapenzi ni raha na
sio karaha,... khaaa! Stukeni jamani.