Sio wanaume wote wanawake wanawakatikia wauno wengine huwa ni mchosho wao ndio wanaamua nani wa kumkatikia na nani hastaili kukatikiwa..Jamani mwanamke unatia aibu kukata mauno hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika zote umelalaga tu kama gogo, mapenzi ni raha na
sio karaha, khaaa! Shtukeni jamani.
Hahaaaa.. Umenikumbusha Salama Jabir BSS!Umejaribu lakini haisisimui,
Ahsante kwa kushiriki.
:-D
Shimboni mae...sipo kwenye ulimwengu huo wa kwako mume ndio nini mimi pesa namba 1 mwanaume apite hivi sina habari....eti hatuwajali kwani tulizaliwa nao sisi,....wewe wacha kunitania aisee

Wacheza shoo hizo ndo nafasi zaoWanawake mkubali tu mauno yana umuhimu wake,Leo ndio nimejua humu JF wanawake wengi mag..go kitandani. Msitafute visingizio vya kutafuta ela wala nn. Mbona huwa mnatulalamikia sie vibamia na tunakubali, huo ni uvivu tu na siku hizi mmeiga vijilio vya kizungu utakuta ohhoo nooo! Yes baby!!!!! Wakati kiuno ziro.![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio maana mnakimbiwaWacheza shoo hizo ndo nafasi zao
Till death separates us ni muda mrefu sana hapo katikati, acha tufanye mambo mengine kwanza "kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi"Ndio maana mnakimbiwa
Niombe Radhi dogo nina Mke wangu hapahuyu bwana leo wala sijaonana naye, nilikuwa nabeba zege huko, labda kama amevuta cha tarime
lakini nyie si nasikia mnapendaga sana mguu wa temboNdio ibra87 sasa kama hili unalikatikiaje kwa mfano maana hapo kwa mbali naona kama ameshikilia kichwa cha mtoto anakisugua!!!!
Chaaaa!!!!
View attachment 330032
usinikoromee jombaa nitakutolea siri zako ujueNiombe Radhi dogo nina Mke wangu hapa
Basi itakuwa cha Tarime kama sio cha arachuga...huyu bwana leo wala sijaonana naye, nilikuwa nabeba zege huko, labda kama amevuta cha tarime
Weird...What's good ma nigga...
Hahahaahaa!!pole mkuu kwa kukosea jukwaa.Huku ndo yanayozungumzwa hayo,kama unataka kazi tune jukwaa la kazi na ajira.Hivi jamani tunaelekea wapi Tanzania hii!,watu wanawaza ngono tu oh!!!mara kukata kiuno mara kifo cha mende!! Maendeleo tutapata wapi? Mm Nadhani ni busara kujadili siku mpya ya leo tufanyeje kazi!! Na c ulielala nae usiku hajakukatia kiuno hicho ndo chakula chako cha leo naona,!usile tena leo mana umesha shiba.
hapo hujamkuna sawa sawa, ktu ikifika mahala pake uno linaenda lenyeweJamani mwanamke unatia aibu kukata mauno hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika zote umelalaga tu kama gogo, mapenzi ni raha na sio karaha, khaa!
Stukeni jamani.