Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,223
- 113,550
mi nafikiri nitafanya zangu hivyo.
Hata mimi nafikiri nitafanya zangu hivyo.
mi nafikiri nitafanya zangu hivyo.
Hata mimi nafikiri nitafanya zangu hivyo.
kwanini wewe utafanya hivyo?
Kwa sababu wewe utafanya hivyo.
nakusemea kwa ticha unanigelezea.
Halafu sijasahau kuhusu log ujue....
Na figure four nshanunua
ooh! Tangulia darasani, uje umevaa vest tu feni bovu.
Haya nakuja
fasta fasta kabla sijasepa.
Unadhani watu wanaowaimbia wasichana watafute opportunity ya kuolewa ni wajinga?
Jaribu kusoma biology ya wanawake halafu utakuja kutuambia!!
Babu DC!!
Unawahi wapi Mwajuma? Kwenye koni?
Nakosa mahari yangu wallahi.............Kwa CANTA nishapoteza...........Hata wewe!
Riheso muhumu jaman,Cantalisia,umeniacha hoi na mbavu sina,na umenikumbusha mbali,wakati nakua pale mtaani kwetu kulikuwa na kidume wa acha tu.Kilikuwa kinatoa breaking news kila kik-do,ilikuwa either mdada atoe haja kubwa au atoke mbio bila chupi au nguo zote maana ilikuwa shughuli.Bahati mbaya kale kaugonjwa nako ndio kalikuwa kanakuja kwa kasi na maumbile yale hakuchukua muda mrefu tulimzika kwenye "mfuko wa rambo".
Sisy,nilegeze wapi!!!!tena mimi ndio sahau baba. Labda canta atalegeza moyo. Mimi hayo makitu siyapendi.
mi nafikiri nitafanya zangu hivyo.
Weweee, mimi sijawahi kudhulumiwa....................Nitamwendea LAMU kwa MASHARIFU, kama hajaja kwangu kwa magoti, wacha mchezo wewe..............!Sisy,nilegeze wapi!!!!
Mie nishaolewa na Rejao mdingi huku anasubiri mahari,
Wakati mahari yangu nishachukua mwenyewe na kuimalizia kwa sonara lol!
Babu heshima yako.
point yangu ni kwamba hata kama unataka kuolewa, basi tafuta taratibu mwenye vigezo, usikurupuke mambo yakaja kukuelemea mbele ya safari, alafu unaanza kusumbua familia na vikao vya suluishi visivyoisha. I hate it.