UTASHI
Senior Member
- Jan 19, 2013
- 135
- 56
Married woman are inferior,they dont know their right.
Mwanamume anapiga masimu yupo ndani anapulizwa na feni anasema yupo kwa foleni.
While katoka kukoroma,Mwanamume harudi kwake muwiki mwanamke bado anamulimia mumewe simply just because she cant stand with her own feet.
Mwanamume anamunyanyasa anangangania kubaki simply because she is afraid to suffer for her stomach.
Brave woman hawaolewi wanamume wanawaogopa.
Kila kitu kina faida na hasara,.Na ubora wa kitu unapimwa kwa kulinganisha wastani wa faida na hasara zinazotokana na hali au kitu husika:Mwanamke aliyeolewa tunamwita (Mke wa ndoa) na Mwanamke asiyeolewa akiwa zaidi ya 30yrs anaitwa (Nungayembe,Kimada,Nyumba ndogo,Wapiga mizinga,Shuga mami,na majina mengine kadha wa kadha ya kumdhalilisha mwanamke) hiyo yote ni kuonesha kwamba mwanamke asiyeolewa anahitaji msaada wa aina mbalimbali {Ni tegemezi kiuchumi,kimawazo,vyombo vya ziada vilinde heshima yake [wapigania haki wanampigania yeye ila yeye bado anakua kikwazo kwa hao wapigania haki] }
Zahra White,Hapa JF kuna watoto wa Mulugo ambao baadhi yao ni wavivu na hawasomi shule huko wanachukua baadhi ya hoja huku jamiiforums na kwenye mitandao mingine na kujibia mitihani yao wakidhani eti wamenufaika na mitandao ndo maana wanafeli sana siku hizi.{japokua kuna sababu nyingine nyingi zinasababisha kufeli kwao}
Kuolewa ni kitu kikubwa kinapitia mchakato mrefu wa kushirikisha watu wenye "Elimu zao,Busara zao,Uzoefu wa maisha,Hekima zao,Mamlaka yao tena ni mamlaka makubwa,na kushirikisha Taasisi muhimu za kiimani,Kimila au Serikali,Pamoja na Wazazi wa Pande zote mbili ili kuhakikisha kwamba kila mmoja (mwanandoa) anapata uelewa wa nini kinachoendelea na majukumu yake ktk kutunza na kuendeleza ndoa ktk maisha yao.
Mwanamke aliyeolewa ni hodari na yuko juu ktk uelewa wa maisha,hadhi ktk jamii,anakubalika na kuaminiwa na jamii ktk mapana yake,Hakurupuki ktk kutatua matatizo yanayomkabili.Na hana majina machafu yanayowakabili waanawake wasioolewa ambao ni above 30yrs.
Mwanamke aliyeolewa anajitambua na anajua haki zake za ndoa na mambo mengine ya kifamilia Ila mwanamke asiyeolewa hajui na hana kaki za ndoa,Yeye aangalie tu shughuli zake halali na kiuchumi na za Kupiga MIZINGA.