Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Duh kuna watu wakisikia tu harufu ya nnya tayari mnara umesoma! Na kuna wengine utaskia mbna hukojoi au nikubadilishie? Kiufupi saivi ishakuwa ni kama fashion watu kulana nnya! Na kuna mchezo umeanza wa dungadunga kuchafua wanaume kwenye mwendokasi!
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume shoga/anayefanywa kinyume na mwanamke anayefanywa kinyume wote ni walewale.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanafanya kinyume na maumbile.
Umemsahau mwanaume anayewaingilia. Na yeye ni shoga wa kwanza.
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume shoga/anayefanywa kinyume na mwanamke anayefanywa kinyume wote ni walewale.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanafanya kinyume na maumbile.
Mwanaume anayelatiwa wanawake hana tofauti na shoga. Kimsingi yuko kwenye kundi la mashoga.
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume shoga/anayefanywa kinyume na mwanamke anayefanywa kinyume wote ni walewale.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanafanya kinyume na maumbile.
Baada ya kuzungumzia ishu kubwa,kama tutawezaje kuzalisha ngano ya kutosha Ili tuteke soko la Ukraine duniani,tuzslishe mafuta,sukari,sembe Ili Afrika mashariki na kati wote mpaka Sudan wanunue unga chapa TZ,watu wanakaa kuzungumzia kwa mparange!!!tukuze uchumi,watu wawe na vipato vya kutosha,wakjiweza wengi wao hawatatendewa ndivvyo sivyo
 
Juzi jamaa yangu kanionyesha sms, "baby nikupe nyuma unipe 100,000 ya kodi niongezee?" Nikamfikiria yule dada, nikahuzunika sana. Dada yupo tayari kutoa nyuma kwa 100k kweli?

Jamaa kamwambia nitakupa hiyo 100k, hayo mengine tutajua huko...sasa sijui walipeana au niaje.
 
Mbona hizi maada za nyuma nyuma zimekuwa nyingi Sana hiki kipindi.

Kwani nyie x mmeanza kuangalia lini? Anal ipo tokea enzi za sodoma mpk enzi za watimoteo.

Mpaka enzi za wagalatia,mpk enzi za yohana, mpk enzi za tigo mpk enzi za google.

Hakuna jipya NI wewe kuamua tu usijaribu visivyojaribika ila kiuhalisia nahisi watu wengi Sana washaonjana huko NI Basi TU chumba kinaficha mengi.

Mimi mwenyewe nikikiri hapa sijawahi kula tigo najua watu watabisha tu
Hilo povu lote la nini sasa ikiwa hujawahi kula tigo yoyote?

Na umemaanisha nini hasa unaposema hakuna jipya, kwamba Watu wasipaze sauti kukemea huo upumbavu?
 
Back
Top Bottom