Ukitaka kujua ukubwa wa uke au uume wa mpenzi wako kabla ya kuingia kwenye mahusiano

Majighu2015

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
2,924
3,904
Habari zenu wapendwa,

Natumai ni wazima kabisa na mnaendelea vyema na majukumu ya ujenzi wa Taifa

Kijana uwe wa kike au wa kiume ni lazima uijue japo kwa uchache elimu ya maumbile ya ndani kwa kusoma maumbile ya nje yaani kwa kumtazama usoni na miguuni tu au maumbile yaliyoruhusiwa kumtazama mwanamke au mwanaume kabla ya kuingia naye kwenye ndoa.

NAMAANISHA HIVI
Katika uso na miguu kuna siri kubwa sana katika kujua mengi katika hali za wanaadamu yaani namaanisha kujua maumbile yake ya sehemu za siri ukubwa na udogo wa uke na uume,kujua kama anayo bikra au laa au hata kujua kama anaweza utundu awapo kitandani au atakuwa ni kama gogo.

Ukiujua utaalam huu utakufanya utambue huyu fulani maumbile yake ya ndani yako vipi yatakufaa au hayakufai.

UKITAKA KUMJUA MWANAUME UMBILE LAKE LA SEHEMU ZA SIRI[UUME]
Kwanza tambua kuwa maumbile ya wanaume yamegawanyika sehemu tatu

1. Uume mkubwa[TEMBO]
2. Uume wa kati[FARASI]
3. Uume mdogo[KONDOO]

Kila mwanamke ana mapendeleo yake na hisia zake kuhusu ukubwa wa uume ingawa inategemea na uwezo wa kufanya kazi, wengi hudhani uume mkubwa au mnene ndiyo madhubuti kuliko mdogo,wengine wao hudhani kuwa nyembamba ndefu ndiyo madhubuti zaidi, lakini utendaji kazi ni suala linalojitegemea,lakini ile inayomuingia sawasawa na kugusa kona zote za mwanamke anayetaka kukunwa ndiyo yenye kufaa na kikubwa ni kujua tuu mbinu gani zitakazomfurahisha mwenzio.

UKITAKA KUJUA UKUBWA WA UUME WA MUMEO MTARAJIWA
Kama wewe ni mwanamke na unataka kuchunguza maumbile ya mume wako mtarajiwa si lazima umvulie chupi ndiyo ujue kuwa ana ukubwa au udogo kiasi gani,kama hujapata size yako utawavulia wangapi?FANYA HIVI

CHUNGUZA MIGUU YAKE
Tazama kidole gumba cha mguu wake,ukiona ana dole kubwa basi ndiyo maumbile ya uume wake yanaashiria ukubwa ule wa kidole gumba cha mguu,na kikiwa ni kidogo au kati kwa kati au wembamba na unene basi na maumbile yake ni hivyohivyo.Naamini umepata picha.

UKITAKA KUJUA UKUBWA WA UKE WA MKEO MTARAJIWA
CHUNGUZA MIDOMO YAKE

Ili mwanaume ujue ukubwa wa maumbile ya mwanamke unapaswa uchunguze mdomo wake kwani huu ndiyo utakaokupa picha ya maumbile yake kwani ukubwa au udogo wa mdomo wake basi ndiyo picha hiyohiyo ya maumbile yake sasa chunguza kama hiyo kitu itakufaa au laa.

Kama ilivyo kwa mwanaume hata mwanamke pia maumbile yake yamegawanyika katika sehemu tatu.

1. UKE MNENE WENYE KINA KIFUPI[Huyu yeye atapenda uume mwembamba na mfupi]

2. UKE ULIOLALA MWEMBAMBA WENYE KINA KIREFU[Huyu yeye atapenda uume mnene na mrefu]

3. UKE MNENE[Huyu yeye atapenda uume mkuubwa ndio anahisi utamfikisha]

Katika aina hizo 3 ndani yake zimegawanyika katika maumbile tofauti tofauti,yaani nyingine ipo kwa juu kidogo,nyingine kwa chini kidogo,nyingine katikati,ipo iliotuna,ipo iliobanda.

Hii ni elimu ya asili tu, mengine jiongeze.
 
Habari zenu wapendwa
natumai ni wazima kabisa na mnaendelea vyema na majukumu ya ujenzi wa Taifa

Kijana uwe wa kike au wa kiume ni lazima uijue japo kwa uchache elimu ya maumbile ya ndani kwa kusoma maumbile ya nje yaani kwa kumtazama usoni na miguuni tu au maumbile yaliyoruhusiwa kumtazama mwanamke au mwanaume kabla ya kuingia naye kwenye ndoa.

NAMAANISHA HIVI
Katika uso na miguu kuna siri kubwa sana katika kujua mengi katika hali za wanaadamu yaani namaanisha kujua maumbile yake ya sehemu za siri ukubwa na udogo wa uke na uume,kujua kama anayo bikra au laa au hata kujua kama anaweza utundu awapo kitandani au atakuwa ni kama gogo.

Ukiujua utaalam huu utakufanya utambue huyu fulani maumbile yake ya ndani yako vipi yatakufaa au hayakufai.

UKITAKA KUMJUA MWANAUME UMBILE LAKE LA SEHEMU ZA SIRI[UUME]
Kwanza tambua kuwa maumbile ya wanaume yamegawanyika sehemu tatu
1. Uume mkubwa[TEMBO]
2. Uume wa kati[FARASI]
3. Uume mdogo[KONDOO]

Kila mwanamke ana mapendeleo yake na hisia zake kuhusu ukubwa wa uume ingawa inategemea na uwezo wa kufanya kazi, wengi hudhani uume mkubwa au mnene ndiyo madhubuti kuliko mdogo,wengine wao hudhani kuwa nyembamba ndefu ndiyo madhubuti zaidi, lakini utendaji kazi ni suala linalojitegemea,lakini ile inayomuingia sawasawa na kugusa kona zote za mwanamke anayetaka kukunwa ndiyo yenye kufaa na kikubwa ni kujua tuu mbinu gani zitakazomfurahisha mwenzio.

UKITAKA KUJUA UKUBWA WA UUME WA MUMEO MTARAJIWA
Kama wewe ni mwanamke na unataka kuchunguza maumbile ya mume wako mtarajiwa si lazima umvulie chupi ndiyo ujue kuwa ana ukubwa au udogo kiasi gani,kama hujapata size yako utawavulia wangapi?FANYA HIVI

CHUNGUZA MIGUU YAKE
Tazama kidole gumba cha mguu wake,ukiona ana dole kubwa basi ndiyo maumbile ya uume wake yanaashiria ukubwa ule wa kidole gumba cha mguu,na kikiwa ni kidogo au kati kwa kati au wembamba na unene basi na maumbile yake ni hivyohivyo.Naamini umepata picha.

UKITAKA KUJUA UKUBWA WA UKE WA MKEO MTARAJIWA
CHUNGUZA MIDOMO YAKE

Ili mwanaume ujue ukubwa wa maumbile ya mwanamke unapaswa uchunguze mdomo wake kwani huu ndiyo utakaokupa picha ya maumbile yake kwani ukubwa au udogo wa mdomo wake basi ndiyo picha hiyohiyo ya maumbile yake sasa chunguza kama hiyo kitu itakufaa au laa.

Kama ilivyo kwa mwanaume hata mwanamke pia maumbile yake yamegawanyika katika sehemu tatu.

1. UKE MNENE WENYE KINA KIFUPI[Huyu yeye atapenda uume mwembamba na mfupi]

2. UKE ULIOLALA MWEMBAMBA WENYE KINA KIREFU[Huyu yeye atapenda uume mnene na mrefu]

3. UKE MNENE[Huyu yeye atapenda uume mkuubwa ndio anahisi utamfikisha]

Katika aina hizo 3 ndani yake zimegawanyika katika maumbile tofauti tofauti,yaani nyingine ipo kwa juu kidogo,nyingine kwa chini kidogo,nyingine katikati,ipo iliotuna,ipo iliobanda.

Hii ni elimu ya asili tu, mengine jiongeze.
Chai
 
Haya wanaume wote tupieni vidole vyenu vya miguu Kuna kitu nataka kuona tuanze na mshamba_hachekwi
CE47B658-BBB9-47A0-A4E6-FF892BB1ACCF.jpeg
 
Habari zenu wapendwa
natumai ni wazima kabisa na mnaendelea vyema na majukumu ya ujenzi wa Taifa

Kijana uwe wa kike au wa kiume ni lazima uijue japo kwa uchache elimu ya maumbile ya ndani kwa kusoma maumbile ya nje yaani kwa kumtazama usoni na miguuni tu au maumbile yaliyoruhusiwa kumtazama mwanamke au mwanaume kabla ya kuingia naye kwenye ndoa.

NAMAANISHA HIVI
Katika uso na miguu kuna siri kubwa sana katika kujua mengi katika hali za wanaadamu yaani namaanisha kujua maumbile yake ya sehemu za siri ukubwa na udogo wa uke na uume,kujua kama anayo bikra au laa au hata kujua kama anaweza utundu awapo kitandani au atakuwa ni kama gogo.

Ukiujua utaalam huu utakufanya utambue huyu fulani maumbile yake ya ndani yako vipi yatakufaa au hayakufai.

UKITAKA KUMJUA MWANAUME UMBILE LAKE LA SEHEMU ZA SIRI[UUME]
Kwanza tambua kuwa maumbile ya wanaume yamegawanyika sehemu tatu
1. Uume mkubwa[TEMBO]
2. Uume wa kati[FARASI]
3. Uume mdogo[KONDOO]

Kila mwanamke ana mapendeleo yake na hisia zake kuhusu ukubwa wa uume ingawa inategemea na uwezo wa kufanya kazi, wengi hudhani uume mkubwa au mnene ndiyo madhubuti kuliko mdogo,wengine wao hudhani kuwa nyembamba ndefu ndiyo madhubuti zaidi, lakini utendaji kazi ni suala linalojitegemea,lakini ile inayomuingia sawasawa na kugusa kona zote za mwanamke anayetaka kukunwa ndiyo yenye kufaa na kikubwa ni kujua tuu mbinu gani zitakazomfurahisha mwenzio.

UKITAKA KUJUA UKUBWA WA UUME WA MUMEO MTARAJIWA
Kama wewe ni mwanamke na unataka kuchunguza maumbile ya mume wako mtarajiwa si lazima umvulie chupi ndiyo ujue kuwa ana ukubwa au udogo kiasi gani,kama hujapata size yako utawavulia wangapi?FANYA HIVI

CHUNGUZA MIGUU YAKE
Tazama kidole gumba cha mguu wake,ukiona ana dole kubwa basi ndiyo maumbile ya uume wake yanaashiria ukubwa ule wa kidole gumba cha mguu,na kikiwa ni kidogo au kati kwa kati au wembamba na unene basi na maumbile yake ni hivyohivyo.Naamini umepata picha.

UKITAKA KUJUA UKUBWA WA UKE WA MKEO MTARAJIWA
CHUNGUZA MIDOMO YAKE

Ili mwanaume ujue ukubwa wa maumbile ya mwanamke unapaswa uchunguze mdomo wake kwani huu ndiyo utakaokupa picha ya maumbile yake kwani ukubwa au udogo wa mdomo wake basi ndiyo picha hiyohiyo ya maumbile yake sasa chunguza kama hiyo kitu itakufaa au laa.

Kama ilivyo kwa mwanaume hata mwanamke pia maumbile yake yamegawanyika katika sehemu tatu.

1. UKE MNENE WENYE KINA KIFUPI[Huyu yeye atapenda uume mwembamba na mfupi]

2. UKE ULIOLALA MWEMBAMBA WENYE KINA KIREFU[Huyu yeye atapenda uume mnene na mrefu]

3. UKE MNENE[Huyu yeye atapenda uume mkuubwa ndio anahisi utamfikisha]

Katika aina hizo 3 ndani yake zimegawanyika katika maumbile tofauti tofauti,yaani nyingine ipo kwa juu kidogo,nyingine kwa chini kidogo,nyingine katikati,ipo iliotuna,ipo iliobanda.

Hii ni elimu ya asili tu, mengine jiongeze.
Hizi falacy za unashiri
hewa, siku hizi kuna mikumao sijui hata imeumbwa Dunia Gani acha tuendelee na ugunduzi 🤣🤣🤣, **** **** aina ya Zwangendaba yaani hii usiombe ukutane nayo ni kama likichaka fulani hivi
 
Back
Top Bottom