Wanawake wanao kunywa pombe hawana mvuto

Wanawake wanao kunywa pombe hawana mvuto

Kuna demu aliniacha mdomo wazi....ukimcheki yupo very classic nkamuuliza siku umeamua haswa kunywa mwisho ngapi, akasema sizidishi 9! Nimeshangaa sana, mwanamke hadi bia 9?
Tuuuuu? BIA? Je mi Vodka?
 
KwA kweli wine,spirits and the like nakunywa vizuri tu na kistaarabu,ila heshima iko pale pale,hata hakuna kunisumbua akili wala kunipoteza njia.

Siku ya kwanza kunywa pombe nakumbuka 2006 alininunulia baba Yang mzazi.Nakumbuka aliniambia kunywa hukatazwi,il a jitambue wewe ni ke na kuwa na mipaka.
 
una lako tu hivi hujaacha utamaduni wa kwenu bado???? nyie mnywe sisi tusinywe??? hahahaaaaa unapiga fanta orange bar??? ....,.

unatabu sana wew ujue bia iko na mzuka wake ujue hunywi kaa pembeni tuachie sisi vichwa vimezoea mbege toka tuko tumboni mwa mama ...........

na mvuto tunao sema wew umezoea wale wa maji na juisi ya kukoroga hahahaaaaaaa huna hela za kulipa bear????
 
una lako tu hivi hujaacha utamaduni wa kwenu bado???? nyie mnywe sisi tusinywe??? hahahaaaaa unapiga fanta orange bar??? ....,.

unatabu sana wew ujue bia iko na mzuka wake ujue hunywi kaa pembeni tuachie sisi vichwa vimezoea mbege toka tuko tumboni mwa mama ...........

na mvuto tunao sema wew umezoea wale wa maji na juisi ya kukoroga hahahaaaaaaa huna hela za kulipa bear????

tena nyie wanawake wa kichaga ndio kabisaaa........
 
waiter......
nileteee safari baridi haraka sana

taratibu bibiye....
pombe+noma.jpg
 
Back
Top Bottom