Wanawake wanao kunywa pombe hawana mvuto

Wanawake wanao kunywa pombe hawana mvuto

HAHAHAAAAAAA! Mchawi ndo anamjua mchawi mwenzie! Umejuaje kama mimi mchawi?
Mimi ni mtu wa kushinda KAUNTA natiririsha maji ya dhahabu, wala si utani! Vijiweni ilikuwa mambo ya DARK 70s siku hizi TIMES HAVE CHANGED, watu wanashinda BAR, wanakunywa na kusikilizia mishe mishe!

sasa usimezeshee watu sumu bwanah kama ww ni mtu wa kaunta si ww bwanah,ila nenoo moja tu kwako kwan ww background yakoo ikoo vipi kimaisha(ukijibu na hapoo basi ww mbishi bwanah loohh)
 
HAHAHAAAA! Embu kajaribu HR AKIWA SOBBER umuombe umlete ndugu yako hana cheti, au nenda PROCUREMENT waambie huna kampuni, na kampuni ya mshkaji wako haina documments zotena unataka tenda ya kusupply furniture jengo jipya na i pad mpya kwa mabosi uone kazi! Hahahaaaaaa! DILI MANAKE YOU DONT DESERVE BUT YOU ARE GIVEN THE GO AHEAD ANYWAY! Na bar ndo sehemu any suggestion doesnt sound prepostrous! Kuna Boss wangu way back when kulikuwa na promotion inaanza, sasa sikuwekwa, nikamvizia bara anayokunywa nikajifanya tumekutana tu bahati mbaya, akaniambia kaeni hapa tujiunge! Katiti nikasuggest na mimi niwemo kwenye promotion, akakubali just like that! Chezea bia wewe! Tena akanifanya incharge msaidizi! Asubuhi watu wanaambiwa flani atakuwa anamsaidia flani kusimamia! Wakaguna tu! MJINI HAPA!

shetani akikuona atakuteua kuwa kamanda mkuu kwny jeshi lake la uovu
 
images
 
Smirnoff uchanganye na Amarula kitu kinakaribia Vodka! Machalii wa Arachugga wanapenda sanaa hiikitu, na lile baridi unachemka mpaka kijashoo sweta la kazi gani?
Cc Heaven Sent vitu kama hivi ni Original story huwezi kutungaaaa!

Hahahahaha mbona me nimecrame hapo. Ngoja nikutane na wasiozijua wenzangu ntakavyojifanya nazijua kama nishazitaste vile. Afu namtafuta chapombe mmoja anijazie jazie maelezo yako hapo juu. Afu ntakuja nikusimulie na wewe vizuri. Mjini hapa bana, kwenye msafara wa wajanja na sie copy and paste tupo
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha mbona me nimecrame hapo. Ngoja nikutane na wasiozijua wenzangu ntakavyojifanya nazijua kama nishazitaste vile. Afu namtafuta chapombe mmoja anijazie jazie maelezo yako hapo juu. Afu ntakuja nikusimulie na wewe vizuri. Mjini hapa bana, kwenye msafara wa wajanja na sie copy and paste tupo
Hahaaaaaa! Usije ukaulzwa Zanzi ukichanganya na beer je ukasema inakuwa tamu sanaaaa! Cc Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
Si tofautiani sana nawe mheshimiwa ila nadhani kuna kiwango cha unywaji ambacho sioni kama ni tatizo. binafsi nachukizwa sana na wanawake walevi kupindukia na mbaya zaidi nimkute anavuta sigara... hata salam sitampa kwa kweli... Ni mtazamo wangu tuu.
Haipendezi kabisa mwanamke kunywa pombe.

Kwa kweli nikishaona mwanamke mnywaji wa pombe huwa namdharau sana na kama nilikuwa nina mpango nae for sure namtema mazima.
 
shetani akikuona atakuteua kuwa kamanda mkuu kwny jeshi lake la uovu
Hahaaaaaa! NAONA UMEJIPA CHEO CHA MUNGU UNAHUKUMU KABISAAA SAHIVI! Jiangalie jiraniUSIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA!

Alafu ungejua mimi dini naijua hatari hata usingenipimia! Neno gani nisilolijua Vita vyote 72 vya nyie PREOTETISTANTS. na 73 vy sie ROMAN CATHOLICS! Agano jipya vitabu vyote 45 kwenu na 46 kwetu, bna agano jipya 27 vyoteee! Ujue mimi biblia nimeisoma kabisaa darasani sio kujifunza juu juu! BIBLE KNOWLEDGE wanaita, Mungu akijaalia nitasoma na THEOLOGY kabisaaa!

SIWEZI KUWA KAMANDA WA SHETANI HATA SIKU MOJA!
 
Wapiiiiiii? Wengine SAFARI LARGER zinakimbilia danta vile vile! Hahaaaa! Yale yale Amarula inaongeza nguvu za kike! Hahaaaa! Sasa sijui nguvu za nini!

hiyo nilimsikia mwanamke mwenzako akilalamika , ndiyo maana nikauliza..........
 
Hahaaaaaa! Usije ukaulzwa Zanzi ukichanganya na beer je ukasema inakuwa tamu sanaaaa! Cc Evelyn Salt

Hahahahhaha subiri hizo fix zake ntakazopiga hapo. Nikiona swali silijui, najifanya oooh hiyo nilitest siku moja but I didn't like the way it tastes, thus why I decided to stick with xxxx (nataja mbrand mwingine naojua hawajausikia). Tutaelewana tu, madada wa mjini muwe peke yenu tu akhuuuuu.
 
Last edited by a moderator:
sasa usimezeshee watu sumu bwanah kama ww ni mtu wa kaunta si ww bwanah,ila nenoo moja tu kwako kwan ww background yakoo ikoo vipi kimaisha(ukijibu na hapoo basi ww mbishi bwanah loohh)
Sasa kunywa pombe kunahitaji back ground ya nini? Imekiwa research hiyo? Kitendo cha kuchukua glass kupeleka mdomoni nacho kinahitaji BACK GROUND? Hahaaaaa! Unachukua glass unaweka mdomoni, unamezaaa! Baaaaaaaaasssss!
 
Back
Top Bottom