Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 10,999
- 23,497
Shida ni nini?Kwani Broo??umekabidhiwa majukumu na serikali uwalishe,,uwavishe na uwape malazi??Mbona unalalama mnoo Kwa yasiyo kuhusu,,Kila MTU na maisha yake,,usilazimishe fikra,,mitazamo,,na maono yako kwenye maisha ya wengine utapoteza muda kama si uhai
Mbona kama unaumia kwa bakora anazochapwa mwingine.
Acha tabia za kike hizi. Mwanaume huwa anatuliza kichwa mwanaume mwingine anapokuwa ana address jambo na sio kuingilia na kumkatisha.
Kuna fala m'moja one time alikuwa anajifanya advocate wa madem kama wewe. Alikuja pigwa na kitu kizito akalia sana tukapata taarifa tukamkaanga mchana kweupe.
Hadi leo amejifunza kuwa mwanaume unatakiwa kuwa kimya na kuelewa statements za mwanaume mwenzako badala ya kumchallenge as if wewe ni demu sasa unatetea mademu wenzako.
Hebu kaza misuli hiyo acha kuwa feminist, mtoto wa kiume unakuwa soft na kuattack mwanaume mwenzako anapozungumzia mwanamke wewe unamuwakilisha nani sasa tukikuuliza?
Acha kuwa dhaifu.