Wanawake wanajisababishia wenyewe kutokuolewa

Wanawake wanajisababishia wenyewe kutokuolewa

Sasa unasemaje wanaodanga wamekosa ndoa wakati wadangaji ni mabinti wadogo.?
Kuwa binti mdogo sio sifa pekee ya kukupa ndoa, tabia ndio kila kitu. Sasa watapataje ndoa na hawakidhi vigezo na masharti ya kuwa katika ndoa na kupata stahiki zake? [emoji848]
 
Unataka kunioa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama umetulia nakuoa tu shida ipo wapi, cha muhimu ni kupelekeana moto na kukolezana mambo mengine utapata bila shida. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna Mwamba alimtokea dada mmoja huko Babati, mdada akaringa jamaa akapiga chini Kwa kukausha tu kimya, leo tukaja Babati kikazi, jamaa akaona isiwe shida amtafute japo wasalimiane, mdada akasema yuko kijijini kwao sijui kunaitwa Basutu, jamaa akasema poa kama hatajali mdada aje town waonane, mdada akakubali, baada ya ya kukata simu, nusu saa baadae mdada anamtumia sms Mwamba kwamba amtumie hela akasuke, Mwamba akamwambia atakuja asuke akifika town, mdada akanyamaza, nusu saa nyingine akabadilisha gear , akatuma sms kwa Mwamba kua amtumie basi hela akanunue kiatu, dah! Maana yake anatembea peku??? Jibu ni hapana

So wadada wengi wanaweza kukosa waume kwa uzembe wa kitu kidogo sana na Cha kijinga sana, hawafichi matatizo yao na hayo matatizo yao yanafikirisha sana

Shida zinaibuka baada tu ya mwanaume kumtafuta, sometimes mtu ana makusudi nae mazuri kabisa lakini mtu anastuka kua huyu hawatapendana bali wataishi kimaslahi.

Wanaume wengi huvutiwa na maumbo au face ya mwanamke, lakini mwanaume akimkuta huyo mwanamke ana kitu kingine kama heshima, staha na nidhamu.. jumlisha na uzuri wa sura na tabia, ni rahisi sana mwanaume kumchukua huyo mwanamke na kuishi nae, so ni kweli mabinti wengi hua wanaweza kuwafukuza waume wa kuwaoa kwa mambo ya kipuuzi ya kutojizuia

N:B Thubutu kwa Single MAMA sasa uone jinsi Dunia ilivyo na maajabu
Umuhimu wa ndoa huanza kuonekana kuanzia miaka 40+ huku chini mabinti wanaleta mizaha sana ila huko juu huwa wanatia huruma.

Wanawake waliozaliwa miaka ya 70 na 80 kwasasa ndio wanalipia hesabu yao. Haya kizazi cha 1990's kijiandae maana ndani ya miaka 5 hadi 10 kengele ya kuingia ulimwengu wa kulipia hesabu au kufaidika na matunda ya ndoa italia.
 
Kuna Mwamba alimtokea dada mmoja huko Babati, mdada akaringa jamaa akapiga chini Kwa kukausha tu kimya, leo tukaja Babati kikazi, jamaa akaona isiwe shida amtafute japo wasalimiane, mdada akasema yuko kijijini kwao sijui kunaitwa Basutu, jamaa akasema poa kama hatajali mdada aje town waonane, mdada akakubali, baada ya ya kukata simu, nusu saa baadae mdada anamtumia sms Mwamba kwamba amtumie hela akasuke, Mwamba akamwambia atakuja asuke akifika town, mdada akanyamaza, nusu saa nyingine akabadilisha gear , akatuma sms kwa Mwamba kua amtumie basi hela akanunue kiatu, dah! Maana yake anatembea peku??? Jibu ni hapana

So wadada wengi wanaweza kukosa waume kwa uzembe wa kitu kidogo sana na Cha kijinga sana, hawafichi matatizo yao na hayo matatizo yao yanafikirisha sana

Shida zinaibuka baada tu ya mwanaume kumtafuta, sometimes mtu ana makusudi nae mazuri kabisa lakini mtu anastuka kua huyu hawatapendana bali wataishi kimaslahi.

Wanaume wengi huvutiwa na maumbo au face ya mwanamke, lakini mwanaume akimkuta huyo mwanamke ana kitu kingine kama heshima, staha na nidhamu.. jumlisha na uzuri wa sura na tabia, ni rahisi sana mwanaume kumchukua huyo mwanamke na kuishi nae, so ni kweli mabinti wengi hua wanaweza kuwafukuza waume wa kuwaoa kwa mambo ya kipuuzi ya kutojizuia

N:B Thubutu kwa Single MAMA sasa uone jinsi Dunia ilivyo na maajabu
Hata hivyo Kama unasikiliza radio, ukisikiliza wasafi radio kipindi Cha lavidavi... Pale wanawake wengi wanapotoshwa, niliwahi kumsikia divatheebawse anasema "mwanamke Kama uko na mwanaume hakutowi out, hakupi hela!!! "Yani eti hakupi hela" achana nae huyo sio mwanaume ni mubabaishaji,, hivyo mm nadhan pia content za kimahusiano radioni Kuna namna zinaharibu vichwa vya Hawa dada zetu.

Wanakw wasitumie mahusiano kama kitega uchumi
 
Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wanawaza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni sababu kadhaa zinazosababisha wadada kuto kuolewa mapema:-

KURINGA
Hapa unapata boy anamtafuta binti lakini binti analeta machejo, anamtumia text haujibu Whatsapp Ana blue tick anakausha, Yani namba Yako anakuwa kaisev kuongeza Bowers status.

OMBAOMBA
Hii acha niwaelezee kimfano kabisa, hivi karibuni nilikutana na mdada mumoja mkali Sana nikachukuwa namba tukawa tunawasiliana nikatupia ndoano akanasa lkn kabla hatujaonana Mara ya pili ndo kwanza tuna siku tatu tuu eti mdada ananiomba nimkopeshe 10k, niliposema Sina akapotea haujibu text tena Wala kupokea simu. Baada Kama ya siku tatu Nika deshi nataka namba ya kumtumia akajibu nilipiga chini sikuwa na msalie mtume.

Embu eleza na ww sababuunazo zijuwa zinazofanya wadada wachelewe kuolewa pindi ukisoma thread hii, nikisema nizimalize zote ntakuwa sijafanya powa elezea kinaga ubaga ili tusaidie wadada wetu mitaani. Maana unakuta mdada was 1995 hajaolewa mtoto wa 2000 kaolewa ni aibu na lazima spare stress.
Wanataka wakaka cute na wenye hela
 
Ndoa ni baraka nasema hivyo Mana unapata mtu wakati ni binti unamtafuta yupo bize na mambo yakidunia... Lkn mwisho wasiku akisha choka na kuzalishwa kashapata kitambi anataka aje atulie na ww,. Kwa kuwa anaona walio olewa mapema wametulia kwenye ndoa zao
Na hili ni tatizo lingine mtu tayari kashajichokea ndio anaanza kuwa king'ang'anizi kwa wanaume za watu kashasahau vijana aliowatosa kipindi ni binti sababu hawakuwa na pesa au swaga
 
Kuwa binti mdogo sio sifa pekee ya kukupa ndoa, tabia ndio kila kitu. Sasa watapataje ndoa na hawakidhi vigezo na masharti ya kuwa katika ndoa na kupata stahiki zake? [emoji848]
Mnarukaruka sana.
Ndoa sio hitaji la kila mtu.

Kuna wengine wanazitaman na wakizitaka hata kesho wanazipata ila hawaziwezi so wanaacha liende heri waishi wenyewe tu.

Msikariri kua kila mwanadamu anatamani ndoa.
 
Back
Top Bottom