Wanawake wanajisababishia wenyewe kutokuolewa

Wanawake wanajisababishia wenyewe kutokuolewa

Career husika mtu alioichagua inabidi aifanye kwa uwezo wa juu sana na kuwa productive person kwa grade A,

Kuhusu ndoa hata machizi wanaoana, sio big deal sana kuachieve ndoa mzee, ukiamua kuoa/ kuolewa ni easy tu, issue kuoa/kuolewa na soulmate au mtu unaemtaka, sasa hapo ndio watu mnawapa pressure wadada wakubali tu mtu yeyote for the sake of ndoa, life has quality and that quality should be maintained
Sawa tufanye Career ni kitu muhimu na kuwa Productive person Grade A ni important achievement.

Naomba nikuulize maswali yafuatayo;

1. So kwa mantiki (logic)hii una maanisha wanawake wanapozaliwa kitu cha kwanza kwao kwenye maisha ni careers zao, je kama hilo ni kweli, vipi sehemu ambapo hakuna shughuli za kibiashara (tertiary industry),yaani hakuna room for employment mfano huko vijijini, majangwani, au zile jamii zilizopo nyuma ya kimaendeleo, so huko ina maana wanawake hawana watakalofanya zaidi ya kuexist kama misukule tu, si ndio?

2. Kwa mtazamo wako ina maana mabinti wote wafocus na careers na kuwa Productive katika hizo careers tu, je, how long does it take to be a full fledged career woman?
Kwa ninachojua kwa wastani binti anamaliza form 4 akiwa na wastani wa miaka 17 hadi 19. Plus form 5 na 6 ni 2 years added, chuo hapo akianzia cheti hadi kuhit degree level ni wastani wa 6 years on top, akianzia degree straight ni 3 years minimum some careers degree kama medicine inaweza take over 7 years.

Hajaingia mtaani sasa kutafuta experience ili awe fully cooked kwaajiri ya career. Hapo mpe hata 5 years tops. Hivi hapo tuna assume hajihusishi kabisa na mahusiano. Ukijumlisha huo umri unadhani anaangukia kundi gani la wanawake kama sio msimbe direct?

Okay by statistics, wanawake wote wanaosoma huwa wanafanikiwa kuwa na successful careers? [emoji848]

Tuassume ameamua kufanya biashara, how long does business guarantee a successful career?

Why kurisk kutokuwa na mahusiano serious eti kwasababu ya career?

So mfano anafanikiwa at that going age, je ni mwanaume gani atakuwa katika finish line amsubirie yeye amalize hizo shughuli zake za kujitafutia career awe successful ili amuoe amuweke ndani kama mke bora na kufanya nae familia, na hapo hapo nikuulize huyu dada hiyo experience ya kuwa mke anatoa wapi, given anatakiwa kuwa mama wa familia alee watoto, mume na kutunza familia? [emoji848]

So technically tunazungumzia binti kuwa set for life failure?
 
Career husika mtu alioichagua inabidi aifanye kwa uwezo wa juu sana na kuwa productive person kwa grade A,

Kuhusu ndoa hata machizi wanaoana, sio big deal sana kuachieve ndoa mzee, ukiamua kuoa/ kuolewa ni easy tu, issue kuoa/kuolewa na soulmate au mtu unaemtaka, sasa hapo ndio watu mnawapa pressure wadada wakubali tu mtu yeyote for the sake of ndoa, life has quality and that quality should be maintained
Ukisema ndoa hata machizi wanaoana nitakuuliza ndoa gani ya halali ainayofungishwa na watu timamu,taasisi timamu kama Kanisa katoliki, KKKT au Anglicans, Pentecostal, au Ustaadhi mwenye utimamu wa akili na mshika dini kweli kweli ya machizi uliyowahi hudhulia?

Maana usiseme hizi ndoa za mitandaoni ambazo zinafungwa kwaajiri ya likes na views na masihara ya kupata followers. Tuongelee ndoa serious ya heshima hata kama ni ya bajeti ndogo ambayo sio ya mzaha mzaha.

Kwa mfano, nenda kanisa kama Roman ukiwa na kitumbo kama watakufungisha ndoa.


Hakuna mtu anayewaambia wanawake wakubali yoyote for the sake ya ndoa. Mbona hauongelei muda wanaopoteza tokea wakiwa mabinti uje useme huku juu wanalazimishwa? Shida hapa unajitoa ufahamu eneo la wao kuwa wamechelewa kuanza mahusiano.

Unaongelea kupata soulmate for what? What will she be souling about if she doesn't even have a soul to begin with?

Unaongelea soul, unajua maana ya soul? [emoji848]

Mtu akae hadi miaka 30+ wengine hadi 40,amejichanganya kuliwa na wanaume zaidi ya 100, ametoa mimba, hana imani wala sio mshika maagizo ya MUNGU, kavunja amri zote kumi za MUNGU, then you come here to talk about soul, what type of soul remains alive after all is said and done?

Brother, kuwa serious for society's well-being sake. Acha mizaha na kuleta story za karume kenge na alfu lela ulela hapa. Wewe kama una perpetuate wanawake kuishi hovyo then it begs to question your motives as man unalenga kusuggest tuwe na jamii ya aina gani?

Uovu kwenye jamii huwa unaanza na wanawake wasiojitambua. Na wewe unawapigia chapuo hebu kuwa serious basi.
 
Hufirwi??
Ningekujibu ila huwa sibishani na watu ambao wazazi wao waliwapata siku za bahati mbaya, baba ako alitakiwa kupiga nyeto bahati mbaya wakakutana na mama yako, look what they made, you, a product of bahati mbaya. [emoji19][emoji19][emoji19]

Oh af sorry nilitaka kusahau....... FUK YOU [emoji1617]
 
aladini mwenye kakoma kwa wanawake
419329403_122139710882166979_7659569216229773670_n.jpg
 
Tuwaache dada zetu, wanahitaji kufarijiwa kuliko kuwa sema. Pia vijana wengi hawataki majukumu
 
Ningekujibu ila huwa sibishani na watu ambao wazazi wao waliwapata siku za bahati mbaya, baba ako alitakiwa kupiga nyeto bahati mbaya wakakutana na mama yako, look what they made, you, a product of bahati mbaya. [emoji19][emoji19][emoji19]

Oh af sorry nilitaka kusahau....... FUK YOU [emoji1617]
Nakuuliza tena dogo Hufirwi??
 
Unahisi wanawake wanadanga kwasababu wanachagua tabia mbaya ya kutumia miili yao kujipatia mahitaji au ni kwasababu kumekosekana mwanaume serious wa kumpa uhakika wa matunzo na kumpatia mahitaji yake?

Umeshawahi kutafakari maisha ya mwanamke ambaye anaingia kwenye ndoa kwa dhamira ya kupata matunzo na ulinzi na heshima kutoka kwa mwanaume wake akikosa hiyo fursa anakuwaje?

Brother, kama ulishawahi kufanikiwa ukawa na pesa then ghafla ukafilisika ukakosa hata buku ya Pepsi , ukapanda daladala na ulikuwa ni mtu wa kupush gari kali, then ile aibu na fedheha plus kudhalilika watu wakikunyooshea vidole ndio hali inayomkaribia mwanamke ambaye amefika hadi miaka 30+ bila ndoa wala familia.

Kila anapopita anahisi kama anazomewa au kusemwa. Usidhani wanafosi ila ni sehemu ya kuwa mwanamke.

Kama wewe hapa unavyosema kuolewa sio lazima ni sawa na mwanamke aseme kuwa na kazi au biashara sio lazima mwanaume unaweza kuwa marioo na akaishi kwa kutegemea misaada ya ndugu,jamaa na marafiki. Unahisi huu ushauri wanawake wanaweza kuwapa wanaume, kama haufai je ni kwasababu gani? [emoji848]
Wanaodanga ni wanawake wenye 30+ yrs??
Mmeshaenda maeneo wanakojiuza hawa watu ukaona age zao??

Hao wanaowapiga vibom huko ni wenye 30+ yrs.
Wajameni msidhani kila mwanamke anataka ndoa, kama ilivyo kwa kina dronedrake wasiowapenda kuoa unadhani hamna wanawake wasiopenda kuolewa??
 
Nakuuliza tena dogo Hufirwi??
Wazazi wako wanajua kuwa wewe ni mfiraji yaani (homosexual)?

Unahisi hapa ndani kila mtu ni gay kama wewe? Nenda katafute machoko wenzako mkafirane me situmii hiyo bidhaa fala m'moja wewe.

Ooooh nisije nikasahau tena...... FUK YOU [emoji867]take this and shove it down your faggy azz you homo.
 
Wanaodanga ni wanawake wenye 30+ yrs??
Mmeshaenda maeneo wanakojiuza hawa watu ukaona age zao??

Hao wanaowapiga vibom huko ni wenye 30+ yrs.
Wajameni msidhani kila mwanamke anataka ndoa, kama ilivyo kwa kina dronedrake wasiowapenda kuoa unadhani hamna wanawake wasiopenda kuolewa??
Huko sehemu ya kujiuza ni nadra kukuta above 30+ sababu tayari wameshaanza chuja muonekano hauvutii tena na sio wa usichana ila haimaanishi hawapo sokoni maana wanabadili tu location na mbinu za kutafuta wafadhili na wanunuzi.
 
Inaonekana ww ni wwziada, mwanaume Alie kamili haezi andika upuhuz unao andika
Shoga hilo achana nalo. Ukiona mtu ana suggest mambo ya kinyume na maumbile ujue tu ndio michezo yake na kama ni michezo yake it means anaweza kuwa alishawahi kuingiliwa au anaingilia watu wazima na pengine hata watoto.

Hii ni hatari sana.
 
Huko sehemu ya kujiuza ni nadra kukuta above 30+ sababu tayari wameshaanza chuja muonekano hauvutii tena na sio wa usichana ila haimaanishi hawapo sokoni maana wanabadili tu location na mbinu za kutafuta wafadhili na wanunuzi.
Sasa unasemaje wanaodanga wamekosa ndoa wakati wadangaji ni mabinti wadogo.?
 
Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wanawaza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni sababu kadhaa zinazosababisha wadada kuto kuolewa mapema:-

KURINGA
Hapa unapata boy anamtafuta binti lakini binti analeta machejo, anamtumia text haujibu Whatsapp Ana blue tick anakausha, Yani namba Yako anakuwa kaisev kuongeza Bowers status.

OMBAOMBA
Hii acha niwaelezee kimfano kabisa, hivi karibuni nilikutana na mdada mumoja mkali Sana nikachukuwa namba tukawa tunawasiliana nikatupia ndoano akanasa lkn kabla hatujaonana Mara ya pili ndo kwanza tuna siku tatu tuu eti mdada ananiomba nimkopeshe 10k, niliposema Sina akapotea haujibu text tena Wala kupokea simu. Baada Kama ya siku tatu Nika deshi nataka namba ya kumtumia akajibu nilipiga chini sikuwa na msalie mtume.

Embu eleza na ww sababuunazo zijuwa zinazofanya wadada wachelewe kuolewa pindi ukisoma thread hii, nikisema nizimalize zote ntakuwa sijafanya powa elezea kinaga ubaga ili tusaidie wadada wetu mitaani. Maana unakuta mdada was 1995 hajaolewa mtoto wa 2000 kaolewa ni aibu na lazima spare stress.
Kuna Mwamba alimtokea dada mmoja huko Babati, mdada akaringa jamaa akapiga chini Kwa kukausha tu kimya, leo tukaja Babati kikazi, jamaa akaona isiwe shida amtafute japo wasalimiane, mdada akasema yuko kijijini kwao sijui kunaitwa Basutu, jamaa akasema poa kama hatajali mdada aje town waonane, mdada akakubali, baada ya ya kukata simu, nusu saa baadae mdada anamtumia sms Mwamba kwamba amtumie hela akasuke, Mwamba akamwambia atakuja asuke akifika town, mdada akanyamaza, nusu saa nyingine akabadilisha gear , akatuma sms kwa Mwamba kua amtumie basi hela akanunue kiatu, dah! Maana yake anatembea peku??? Jibu ni hapana

So wadada wengi wanaweza kukosa waume kwa uzembe wa kitu kidogo sana na Cha kijinga sana, hawafichi matatizo yao na hayo matatizo yao yanafikirisha sana

Shida zinaibuka baada tu ya mwanaume kumtafuta, sometimes mtu ana makusudi nae mazuri kabisa lakini mtu anastuka kua huyu hawatapendana bali wataishi kimaslahi.

Wanaume wengi huvutiwa na maumbo au face ya mwanamke, lakini mwanaume akimkuta huyo mwanamke ana kitu kingine kama heshima, staha na nidhamu.. jumlisha na uzuri wa sura na tabia, ni rahisi sana mwanaume kumchukua huyo mwanamke na kuishi nae, so ni kweli mabinti wengi hua wanaweza kuwafukuza waume wa kuwaoa kwa mambo ya kipuuzi ya kutojizuia

N:B Thubutu kwa Single MAMA sasa uone jinsi Dunia ilivyo na maajabu
 
Back
Top Bottom