Hilo nalo ni neno, ahsante sana mkuu.upgrade your levels bro. Mwanamke kama una nia nae 10k sio ishu ya kumkazia. Actually ilipasa umpe hiyo pesa, ili awe assured kua ana mwanaume ambae anaweza kumjali anapokua amekwama. Labda kama angeomba milioni au malaki kadhaa ndio ungemkaushia. Lakini 10k!!! Dah! Jitafute bro.
Then, jenga desturi ya kumhudumia mwanamke wako kutokana na mahitaji yake ya muhimu bila yeye kukuomba, cha msingi usivuke kiwango. Baada ya hapo anza kumbania sasa, ili ajue kuna kupata na kukosa huku ukiwa unatest uvumilivu wake.
Unaweza kujikuta unakosa 'wife material' kwa vitu vidogo mno. Kumbuka kizazi chetu ni tofauti na wazee wetu. Tupo katika totally a very different generation with different priorities!!!