Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,775
- 257,516
Umenipata.Nakutafuta wew dada.
Umenipata.Nakutafuta wew dada.
Hebu acheni watu waishi maisha yao.....kuolewa kuolewa, kuolewa kwenyewe nini sasa??? Kuosha vyombo, kupikia watu, kufua na kugombana na ndugu??? Hebu huko....[emoji57][emoji57]
Haha..Yan hata bado upako wa Holy Eucharist haujanitoka mnanikutanisha na vileo 😂😂😂😂
BTW mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako.. Live long mvinyo 😆
Umepigaje hapo😂😂😂Mkuu kama unaona kuolewa ni mafanikio sana olewa wewe
Ametupa hope 🥂 kazi iendelee 🤣Haha..
Jamaa kasema kabisa aliacha mchumba sababu ni wale wanakaa mezani na Fanta wanafukuza nyuki..
Sisi 'wapendwa' tunashukuru Mungu katupa wa kufanana nasi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kama unaona kuolewa ni mafanikio sana olewa wewe
Ni mwanaume anayeitwa dume suruali akiwa hanapesa na si mwanamke kuitwa jike sketi.....Huu sio ubaguzi wa kijinsia kwako.Ni wanawake wanasemwa sana wakiwa single, sio wanaume
Ni ubaguzi wa kijinsia, ni kama vile watu wanaamini mwanamke hajakamilika bila ndoa
😄Kuolewa wasiolewe wengine machungu wapate wengine.
😁Mkuu kama unaona kuolewa ni mafanikio sana olewa wewe
Ingekuwa mada inaongelea wanaume wasio na hela ungekuwa sahihiNi mwanaume anayeitwa dume suruali akiwa hanapesa na si mwanamke kuitwa jike sketi.....Huu sio ubaguzi wa kijinsia kwako.
Mwanaume jifunze kusimama na wanaume wenzako sikuzote mzee sio kubeba hoja za ki feminist
Ndio uelewe mantiki, mada ngapi humu zinazungumzia mwanaume asiye na pesa, reply ngapi humu za wanawake wakina toyeye wanawakandika wanaume wasio na pesa, so haya mambo kwa zamu ikifika zama ya kukandiwa mwanamke single mother, asiye na tako, mnuka k nk pia ukae kimya.Ingekuwa mada inaongelea wanaume wasio na hela ungekuwa sahihi
Muktadha Muktadha Muktadha.
yote kwa yote spooning iheshimiwe au sio sis? Wanasema inapunguza stress eti..😂😂😂
Nashukuru umeliona hilo suala hubby, mwenyewe limeniumiza sana kwa kweli..!!
Hapa nimeshindwa niku support kwenye spooning ama LDR eti mdogo wangu..!!?yote kwa yote spooning iheshimiwe au sio sis? Wanasema inapunguza stress eti..
View attachment 2947571View attachment 2947570
Tulio long distance tunajibeba ni mwendo wa mto au kujikunyata kama kambale.
Hyo ni kweli kabisa... Nilisha wahi ona demu alitakiwa kutoka Moshi kwenda kwa mumewe dar lkn ilibidi alale gest na mwanaume mwingine anaempenda Kama kumuaga tuu.... Mumewe alipokuja sanuka ndoa iliishia hapo hapoSababu nyengine ni kuwa na wanaume wengi.
HAKUNA MWANAUME ANAWEZA OA DEMU MWENYE KIKOSI CHA WANAUME.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue