Wild Flower
Member
- Jul 20, 2023
- 80
- 96
Tunapoadhimisha Siku 16 za ukatili dhidi ya wanawake unazidi kuenea kutoka nafasi za kimwili hadi kwenye uwanja wa kidijitali. Katika muktadha wa kimataifa, ukatili dhidi ya wanawake unaendelea kuwa kudidimiza haki za binadamu, ukichochea na utekelezaji dhaifu na mila za kijamii zenye ubaguzi.
Kwa mujibu wa Ripoti ya UNWomen, asilimia 38 ya Wanawake wamekumbana na Ukatili Mtandaoni, huku asilimia 85 wakiwa mashahidi wa Ukatili wa Kidijitali dhidi ya Wanawake wenzao
Katika Sekta ya Teknolojia, asilimia 44 ya Wanawake waanzilishi wa Kampuni walipata Unyanyasaji mahali pa kazi Mwaka 2020, huku asilimia 41 wakikumbana na Unyanyasaji wa Kijinsia.
-------------------
As we commemorate 16 days of Activism, we know that Violence against women extends beyond physical spaces to the digital realm. UNWomen have shown that 38% of women have faced online violence. 85% have witnessed digital violence against other women. In the tech sector, 44% of women founders experienced workplace harassment in 2020, with 41% encountering sexual harassment.
The economic development of Sub-Saharan Africa is significantly affected by gender-based violence, as a 1 percentage point rise in violence against women correlates with a 9% decrease in economic activity.
Source: UNWomen
--------------------------------------------------------------------
Ukatili wa Kijinsia huweza kusababisha Majeraha ya Mwili na hata Ulemavu
Waathirika wa Ukatili wa kijinsia wanaweza kupata majeraha ya Kimwili na matatizo ya afya kutokana na vitendo vya Unyanyasaji kama Kupigwa na Kubakwa
Pamoja na kuwa Waathiriwa hupatiwa huduma za matibabu, wakati mwingine hali na viwango vya majeraha waathirika huweza kupata matatizo ya kiafya ya muda mrefu na wakati mwingine hadi Ulemavu
Waathirika wa ukatili wa kijinsia hujikuta wakipitia athari za kudumu, ikiwa ni pamoja na kuwa wapweke. Wakatili mara nyingi hujitahidi kuwatenga waathirika na familia na marafiki zao, na mchakato wa waathirika kujenga upya uhusiano mara nyingi huwa ni changamoto kubwa.
Hali hii Hali hii naweza kusababisha matatizo ya afya ya akili kama vile ukatili wa kihisia, mawazo ya kutaka kujijeruhi, na hisia za kutojiamini.
Kwa mujibu wa Ripoti ya UNWomen, asilimia 38 ya Wanawake wamekumbana na Ukatili Mtandaoni, huku asilimia 85 wakiwa mashahidi wa Ukatili wa Kidijitali dhidi ya Wanawake wenzao
Katika Sekta ya Teknolojia, asilimia 44 ya Wanawake waanzilishi wa Kampuni walipata Unyanyasaji mahali pa kazi Mwaka 2020, huku asilimia 41 wakikumbana na Unyanyasaji wa Kijinsia.
-------------------
As we commemorate 16 days of Activism, we know that Violence against women extends beyond physical spaces to the digital realm. UNWomen have shown that 38% of women have faced online violence. 85% have witnessed digital violence against other women. In the tech sector, 44% of women founders experienced workplace harassment in 2020, with 41% encountering sexual harassment.
The economic development of Sub-Saharan Africa is significantly affected by gender-based violence, as a 1 percentage point rise in violence against women correlates with a 9% decrease in economic activity.
Source: UNWomen
--------------------------------------------------------------------
Ukatili wa Kijinsia huweza kusababisha Majeraha ya Mwili na hata Ulemavu
Waathirika wa Ukatili wa kijinsia wanaweza kupata majeraha ya Kimwili na matatizo ya afya kutokana na vitendo vya Unyanyasaji kama Kupigwa na Kubakwa
Pamoja na kuwa Waathiriwa hupatiwa huduma za matibabu, wakati mwingine hali na viwango vya majeraha waathirika huweza kupata matatizo ya kiafya ya muda mrefu na wakati mwingine hadi Ulemavu
Waathirika wa ukatili wa kijinsia hujikuta wakipitia athari za kudumu, ikiwa ni pamoja na kuwa wapweke. Wakatili mara nyingi hujitahidi kuwatenga waathirika na familia na marafiki zao, na mchakato wa waathirika kujenga upya uhusiano mara nyingi huwa ni changamoto kubwa.
Hali hii Hali hii naweza kusababisha matatizo ya afya ya akili kama vile ukatili wa kihisia, mawazo ya kutaka kujijeruhi, na hisia za kutojiamini.