Burn the bridge _Tz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 2,240
- 6,607
Dah kwakweli Mimi ni kuku majiKuku maji
Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba
Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.
Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...
Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.
Nimejaribu kumpigia mama mke nakuta huyu mpenzi wangu ameniblock
Najaribu kumpigia tena baba mkwe nakuta mpenzi wangu ameniblock..
Nakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!
Jamani matusi kejeli yote ruksa.
Karibuni
Ogelea mkuu, umeyapenda maji.Dah kwakweli Mimi ni kuku maji
Nilipeleka kwao mkuuKuku maji una uhakika posa ulipeleka kwa wazazi wake au genge la wahuni walijipanga?
AhsanteTena bado ukapiga na simu ukweni kweli? π€ bora umeachwa π
Dah π kama nchi tumepitia kipindi kigumu sana π nimekumbuka mbali sana πNakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!
ππDuh wacha kwanza nilie wuii wuii
Pole Mkuu ukiachwa achika tumia akili siyo hisiaDah
Ahsante