ndio maana nikasema kama yuko free from externalities.
lakini swtlo tujadili kidogo juu ya nini huwafanya wawe jinsi walivyo??
ni kwamba mara nyingi sana huwa wako tu ni watu wa kujiachia sana kwamba hawana disturbance za achievements. ukiangalia at that age wengi huwa tayari wana ndoa ama hata kama hana ndoa basi huwa na mtu ambaye anajua akimuhitaji atampata tu. istoshe hata kama ana cheat na mume wa mtu hujikuta kwamba hacheat kwasababu ya vitu anavyovikosa kama vile ambao wako at 20's wanavyofanya. mara nyingi mwanamke wa 30+ akijichanganya ni kwasababu anataka na si kwasababu ana shida iwe ya pesa ama nyumba ama gari etc.
na kuna jarida moja la kenya nilikuwa nalisoma hapa limeandikwa na mombasa raha kwamba wanawake wa 30+ huko kenya ndio wanaoongoza kuwa na soko kubwa zaid la wenzi wa nje ya ndoa na kwamba wako free sana kwenye kujiachia. wamesema sababu kubwa ni kwamba hawa wa 20"s wako na macho mawili mawili sasa watu wazima wenye heshima zao huwatafuta hawa mabao ni watu wazima zaid wanatoka nao kwa usiri mkubwa sana, na sio too demanding.
to me mwanamke wa 20's mwache a explore hadi akinai kabisa ili akifika 30+ ajue anataka kufanya nini ama anategemea kufanya nini.