Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Umenena ukweli mkuu...kawaida mwanamke wa 20s+ anakuwa na matarajio makubwa sana kimaisha akiutazama uzuri, elimu au chochote tofauti alichopewa, ila akifikia 30s+ anakuwa na uzoefu wa kutosha na anatamani maisha ya kujipa raha zaidi ndiyo maana anabadili mfumo wa maisha kutoka msichana binti mdogo hadi binti mtu mzima.
Kweli kabisa Tamatheo, umenena ukweli mtupu, ulicho kinena hiki hebu fatilia posts za watu kwenye huu uta conclude kuwa 20s wanamatamanio makubwa ya kimaisha yaani wanasaka mambo makubwa makubwa, ni vigumu sana kuona mvulana mwenye 20s ana mambo makubwa katika jamii, ila kwa mwanamke ni kawaida unakuta mwanamke ana 20s ana mambo makubwa sana
Last edited by a moderator: