Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

Kaizer mi nahisi hayo mengi yanatokana na mdada mwenyewe....yan kuna wengine wakiwa kwenye shughuli wanakuwa macho juujuu km tochi...unadhani atafika kileleni?
Kuna wadada wana pozi bhana yan akiguswa tu kalegea lol
Umri haumati sana.
Tatizo la 20s wanatakaga kujifanya mafundi lol wanaishia kumridhisha mwanaume tu (Na ndio lengo lao)
Ila kwa 30s wao lengo lao huwa ni mautamu tu.

20's Unaingia naye chumbani hamjakaa vizuri; mara anaparamia dude na kuanza kulibugia .... Mwanamke kuandaliwa sio yeye kukurupuka kuchezea dude la kidume.
 
Kuna watoto wapo 20's wana all of the above sijui hawa ni exceptions?
 
Ndo umegundua leo mdogo wangu Kaizer?

Ndiyo maana nilishasema kuwa,.. if I were to redo it...not to a girl or anyone who has not passed 3.5 decades...hata kwa kupewa kisiwa kama Zanzibar...

Utu uzima dawa....


Babu DC!!

ehehhehhheheh babu nimekumiso ujue!
 
-Hata mizinga hawapigi ovyo ovyo mpwa
-Hawezi beba mashosti kwenye appointment
-Anaelewa maisha yalivyo ukimwambia huna kitu mwelewa
-Hawana makuu, wavumilivu
-Wanajua kuthamini/kumjali mwenza.

Pia hawana expectation kubwa kwani wanaangalia reality
 
duh..apa kuna ukweli ndani yake..ila unaweza ukawa 20's na ukawa umetulia vilevile. Kaizer
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi habarini za weekend?


Sasa hii ni kulinganisha na wenzao teenagers na walioko kwen 20s.



Hapo tegemea kupigiwa simu saa 8 usiku, kuombwa pesa ya saloon, kuomba muda wa maongezi lakini simu hupigiwi anaishia kukudiip tu.
 
ndio maana nikasema kama yuko free from externalities.

lakini swtlo tujadili kidogo juu ya nini huwafanya wawe jinsi walivyo??

ni kwamba mara nyingi sana huwa wako tu ni watu wa kujiachia sana kwamba hawana disturbance za achievements. ukiangalia at that age wengi huwa tayari wana ndoa ama hata kama hana ndoa basi huwa na mtu ambaye anajua akimuhitaji atampata tu. istoshe hata kama ana cheat na mume wa mtu hujikuta kwamba hacheat kwasababu ya vitu anavyovikosa kama vile ambao wako at 20's wanavyofanya. mara nyingi mwanamke wa 30+ akijichanganya ni kwasababu anataka na si kwasababu ana shida iwe ya pesa ama nyumba ama gari etc.

na kuna jarida moja la kenya nilikuwa nalisoma hapa limeandikwa na mombasa raha kwamba wanawake wa 30+ huko kenya ndio wanaoongoza kuwa na soko kubwa zaid la wenzi wa nje ya ndoa na kwamba wako free sana kwenye kujiachia. wamesema sababu kubwa ni kwamba hawa wa 20"s wako na macho mawili mawili sasa watu wazima wenye heshima zao huwatafuta hawa mabao ni watu wazima zaid wanatoka nao kwa usiri mkubwa sana, na sio too demanding.

to me mwanamke wa 20's mwache a explore hadi akinai kabisa ili akifika 30+ ajue anataka kufanya nini ama anategemea kufanya nini.


kwa kweli am 40's na naenjoy kunako sita kwa sita kwa sana kuliko nilivyokuwa 20's! ni sababu unakuwa umetulia, huna mawazo kuwa utabata mimba uzizotarajia n.k !
 
-Hata mizinga hawapigi ovyo ovyo mpwa
-Hawezi beba mashosti kwenye appointment
-Anaelewa maisha yalivyo ukimwambia huna kitu mwelewa
-Hawana makuu, wavumilivu
-Wanajua kuthamini/kumjali mwenza.


Haswaa.... ndivyo tulivyo, hatuna usumbufu siye lol!
 
na wao walipitia huku 20's ko nasi tukikua tutakuwa na character hizo hapo juu..

jaman ila mi nilikuwa nahis naenjoy sex ile mbaya kumbe kuna miaka nikifika ntafurahia
zaidi.I cant wait for my 30's

Kama ulikua akilini kwangu..
Na kwa hii post nadhani kuna wengine tunaishi maisha ya being 30's ngoja tuanze kuishi kama 20's
 
20's Unaingia naye chumbani hamjakaa vizuri; mara anaparamia dude na kuanza kulibugia .... Mwanamke kuandaliwa sio yeye kukurupuka kuchezea dude la kidume.

hahahaaa.... Ulikutana na wa 19- wewe... Lol!
 
Hii thread watu wanafunguka tu umri wao (na hili ndio kusudio la ankal wangu@kaizer....... Msijiulize kwanini!! Lol).
 
Back
Top Bottom