Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

Tatizo la 20s wanatakaga kujifanya mafundi lol wanaishia kumridhisha mwanaume tu (Na ndio lengo lao)
Ila kwa 30s wao lengo lao huwa ni mautamu tu.

Kaka habari yako bana...loong tym no see!!!!:tea:
 
yaani hapa Kaizer inataka kuniambia kama upo above unarudi square 1?
Heee...we chezeya sio square one ila ni a different experience kabisa @FP
 
Aahahahahhh.... sasa ilikuwaje au mliiweka hadi ulipoongezeka kiuno?

Hahahaha nimewahi nunuliwa over size nikaulize sweet vp mbona kubwa akanijibu alisahau alipima kiuno chake
 
30's are grown women wanajua wanataka nini na katika namna gani. Ni kweli kabisa hawana usumbufu, hata akideka atakudekea kama mpenzi na si kama mtoto.
 
hiyo mada imenigusa na nimekubaliana na mtoa mada kwa asilimia miamoja
 
Msitutenge sisi wa 20's,tupo ambao tuna sifa kama hizo za wanawake wa 30's
 
Msitutenge sisi wa 20's,tupo ambao tuna sifa kama hizo za wanawake wa 30's

very good Tysher asante kwa kunielewa hatujawatenga I fully recognise kwamba mpo.na tunawaona wenye akili za ki 30s.

pamoja saaana
 
Last edited by a moderator:
Kumbe eee ngojea nifanye jitihada za kutafuta 30'S sijawah kutoka na umli huo..Huwa nacheza sana kwenye 20'S nimekuwa insipired na sifa hizo sifa sasa natangaza rasmi kuingia mawindon

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Kila la heri..
 
Back
Top Bottom