Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
hehehe! Sitamani. Lol
Good girl.....usifanye uchokozi tena. Sawa Hus?
Babu DC!!
hehehe! Sitamani. Lol
Hivi kuna watu huwa wanaficha umri wao?
Babu DC!!
Good girl.....usifanye uchokozi tena. Sawa Hus?
Babu DC!!
sawa babu, siku hizi nimekuwa mjukuu mtiifu mpaka najishangaa
Ndiyo maana ulitoroka kutoka mafichoni....
Hahahahahahahahh......
Nakumbuka siku ile unapiga ukungwi na kuapa mbele ya vichuguu na milima...lol!!
Hii ndo JF bwana....
Babu DC!!
hahahahahaha! Babu babu... Ntakusemea kwa bibi!
Haya bwana, naomba tuishie hapa...nisije nikakosa mtu wa kupiga naye hadithi za kutafutia usingizi mwenzio...
Ulale salama ili ukue kidogo..
Babu DC!!
usikimbie kwanza babu....Haya bwana, naomba tuishie hapa...nisije nikakosa mtu wa kupiga naye hadithi za kutafutia usingizi mwenzio...
Ulale salama ili ukue kidogo..
Babu DC!!
mada hii imenichoma kwa kweli duhhh! una mawazo endelevu ndungu muandishi.
Kaizer wewe ni Sheikh Yahya wangu, umepiga bulu, umejuaje, hizo sifa zote ulizomwaga zipo kwa Preta wangu, alipokuwa katika 20's alikuwa moto, full matata, nkichelewa kidogo tu madongo, lakini leo katika 30's nauona uzuri na umahiri wake kwa bedi, kwa jiko, kwa mfuko (Sipungukiwi si unakumbuka ile Pretamanga Inn), hata kinywa chake kinazidi kuwa kisafiki kadiri miaka inavyosonga mbele, wabarikiwe 30's ladies!!!
yaani hapa Kaizer inataka kuniambia kama upo above unarudi square 1?hahahahahaha FP kama upo above basi we soma tu au kama vipi tupe uzoefu wako ukiwa kwen hiyo miaka....