Wanawake walioko kwenye 30s

uwiiii snowhite na Kongosho leo naona mnataka kurudisha nyumri nyuma.

ila ukweli ng'ombe hazeeki maini bana hata kama figo zimecollapse

Tutakosa soko, nimeshtukia mchezo wa Kaizer

Kaizer umeanalyse vizuri sana na inaweza ikawa kuna ukweli ndani yake.
Ila nashangaa kwa nini nyie 40's mnaongoza kuwataka hizo 20's pamoja na hayo yote hayo????

Ndugu yangu, hata uleje ugali, vikaranga vina nafasi yake
Japo huwezi lala kwa kula karanga tu


Tena aniwache kabisa, mie niko 30 kamili ujue?
 
swali kwa nini hao ma 30's wanajirudisha miaka nyuma???
Tutakosa soko, nimeshtukia mchezo wa Kaizer



Ndugu yangu, hata uleje ugali, vikaranga vina nafasi yake
Japo huwezi lala kwa kula karanga tu



Tena aniwache kabisa, mie niko 30 kamili ujue?
 
Kwa hiyo mie gari bovu? Mbona unanililia nikuvute?


Afu tutakuwa tunakutana wapi na ambrosia ishaharibika?

 

kinana mbili haha hahaha
 
atii macho juujuu mbavu zangu
 
hivi na wanaume wa below 30 wapoje ankal? nataka nikutaftie mkwe ila sijui nichague sharo au kibabu.
 
Ndo umegundua leo mdogo wangu Kaizer?

Ndiyo maana nilishasema kuwa,.. if I were to redo it...not to a girl or anyone who has not passed 3.5 decades...hata kwa kupewa kisiwa kama Zanzibar...

Utu uzima dawa....


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ninyi hamjui na hamjajua!
Arifu mleta sredi kakorofisha kwa Ngina, tena vurugu la nguvu. Halafu kutuliza munkari katengeneza
Tasnifu yenye ukweli ndani yake, lakini ambayo inamlenga Mama Ngina in positive way.

BTW turudi kwenye topic. Hivi Madame B ni 30s au 20s? Maana hilo purukushani lake kama kigori.
Nimejionea mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
hivi na wanaume wa below 30 wapoje ankal? nataka nikutaftie mkwe ila sijui nichague sharo au kibabu.


Kama wote bado mko below 30, nawashauri mchezopo chezepo kidalipo kwa miaka mingine kama 2-5 hivi...


Babu DC!!
 

None of the above....Kusema ukweli hata hiyo ndogo hajaifikia...

Kama kuna mtu anabisha aseme ili nimwage ushahidi..

Babu DC!!
 

Hahahahaa Ukwaju umenichekesha sana aisee lol
Vitoto vinabinuka sarakasi balaa lol
Ulosema ni ukweli mkuu yan vinawaza ujinga tu
Ila ndio hivyo umri wao unawaruhusu...sisi wazee ngoja tukomae na wazee wenzetu
Ila vitoto vyako Ukwaju vina miguu na hips kwikwikwiiiiii
Ngoja nirudi zangu Chitchat!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…