Wanawake wachaniwa nguo Mwanza

Butundwe

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
303
Reaction score
52
Tangu juzi hapa jijini Mwanza kumezuka kundi la vijana wanaowasulubu wanawake wanaovaa nguo fupi. Muda mfupi uliopita hapa maeneo uhuru karibu na shule ya Taqafa dada mmoja kavuliwa nguo zote kabaki kama alivyo zaliwa.

Wasamaria walijaribu kumpa khanga nayo ikachanwa,waathirika wakubwa wamekua ni wanafunzi wa vyuo hususani st. Augustine, CBE nk. Vijana hawa wanadai wanatekeleza agizo la rais Museven.
 
Ina maana Mu 7 amri zake zinatekelezwa hadi Mwanza?!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hahahahaha mbona mi sijavuliwa wamenigwayaaa nini,nilikua maeneo hayo
 

Fatilia kwa makini ulete majibu hapa, hao Vijana wanatoka chama gani cha siasa? Fanya haraka kabla hali haijawa mbaya zaidi.
 
Kwa wale waliotoa ##link juzi kuhusu ile application ya kuondoa LAST SEEN kwenye whatsap tusaidiane kwa hili##Admin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…