wanawake wa Tanzania hawajui kuvaa

wanawake wa Tanzania hawajui kuvaa

Unamaanisha SWAGG hizi??

Men-s-clothing-fashion-winter-ny-font-b-yankee-b-font-pullover-jacket-male-sweatshirt-font.jpg

yes, ndio hizo
 
mmmmmmmmmmmm haya tuletee maujuzi unayo yajua,au umesikia vijiweni watu wanasema na wewe ukayabeba...
 
Katika nchi chache nilizotembelea kama south africa, kenya, mozambique, zambia, rwanda etc.....wanawake wa tz kuvaa zero iwe nyumbani,ofisini au outing. Kwanza wanachanganya nguo za ofisi na za out yaani hapo unakuja mchanganyiko wa ajabu. VIATU hapo ndio hakuna kitu kabisa. Wengi wao ni sandolz na open shoes iwe ofisini au outing . mpaka miguu inapauka harafu wanaenda kuisugua mwenge.ukimkuta kavaa closed shoes ujue kazini kwao wamelazimishwa. Pia vigumu sana kumkuta mdada wa kibongo kavaa RABA na kaptura weekend au outing




Ukweli unauma, usije shangaa utatukanwa na wahusika japo uliyoongea ni sahihi kabisa. Mi nashangazwa tu na dada zetu tena sana, yaani unaweza kwenda beach hapa Dar utakuta mdada kavaa viatu vya mchuchumio mchangani na kavalia gauni la kutokea. Seriously jamani, kwa nini kina dada msiambizane kwamba kuna mavalio ya beach jamani?:A S angry:
 
DUH ni kweli kabisa mkuu..wanawake wa kibongo wanatatiza sana katika mavazi yao..hawajui kipi ni kipi kama wako kwenye circus ivi,nguo za usiku wanavaa mchana..za beach wanavaa sokoni..za disco wanavaa kazini na za kazini wanavaa outing. Afu ukizingatia siku izi wana MATUMBO ka .........na wameanza kuota ndevu kwa fujo coz of fake makeup.. yani imekua hatari tena hatari sana..Kwa wajasiriamali hii ni opportunity ya kufungua stylist consultancy firm atleast muwasaidie hawa kina dada zetu..yanin ni balaa bola mvae kanga na vitenge tujue moja kuliko hii burudani ya mavazi mnayotupa now.duuh
 
Bandiko hili halimuhusu mke wangu.

Ni kweli kabisa MC. Tilly Chizenga. Mke wako anajua kuvaa sana tu, tena sio kuvaa tu! Kuvaa kuendena na matukio, kuna harusi ya Innocent Shio mlisimamia, japo mkeo alikuwa mja mzito, lakini alionekana kama mja mwepesi kutokana na alivyokuwa amependeza. Ofisini kwao wanakuaga na kale kasare kao yeye na Regina, kwa hiyo akivaa hako anatoka kiofisi, ofisi, pia viatu anajua kupangilia kutokana na matukio, nilikuwa napenda anavyo vaa vi-maternity vyake, sijui kama ameshajifungua mpe hongera zake, kuna siku niliwaona Rushida super market akiwa amevaa TShirt na Jeans alikuwa ametoka mbaya. Mwayego hata mimi hili tangazo halinihusu, huwa najiita Idd kuvaa kulingana na matukio, mleta mada ungesema baadhi ya wanawake. Vipi kuhusu mkeo/girlfriend wako yeye hili tangazo linamhusu au halimhusu. Tiririka!!!!!!
 
Ni kweli kabisa MC. Tilly Chizenga. Mke wako anajua kuvaa sana tu, tena sio kuvaa tu! Kuvaa kuendena na matukio, kuna harusi ya Innocent Shio mlisimamia, japo mkeo alikuwa mja mzito, lakini alionekana kama mja mwepesi kutokana na alivyokuwa amependeza. Ofisini kwao wanakuaga na kale kasare kao yeye na Regina, kwa hiyo akivaa hako anatoka kiofisi, ofisi, pia viatu anajua kupangilia kutokana na matukio, nilikuwa napenda anavyo vaa vi-maternity vyake, sijui kama ameshajifungua mpe hongera zake, kuna siku niliwaona Rushida super market akiwa amevaa TShirt na Jeans alikuwa ametoka mbaya. Mwayego hata mimi hili tangazo halinihusu, huwa najiita Idd kuvaa kulingana na matukio, mleta mada ungesema baadhi ya wanawake. Vipi kuhusu mkeo/girlfriend wako yeye hili tangazo linamhusu au halimhusu. Tiririka!!!!!!

hakika unatufahamu vema!tushapata mtoto wa kiume!GOD IS ALWAYS GREAT
 
Katika nchi chache nilizotembelea kama south africa, kenya, mozambique, zambia, rwanda etc.....wanawake wa tz kuvaa zero iwe nyumbani,ofisini au outing. Kwanza wanachanganya nguo za ofisi na za out yaani hapo unakuja mchanganyiko wa ajabu. VIATU hapo ndio hakuna kitu kabisa. Wengi wao ni sandolz na open shoes iwe ofisini au outing . mpaka miguu inapauka harafu wanaenda kuisugua mwenge.ukimkuta kavaa closed shoes ujue kazini kwao wamelazimishwa. Pia vigumu sana kumkuta mdada wa kibongo kavaa RABA na kaptura weekend au outing

Hawana exposure ya kutosha!
Exposure waliyo nayo ni ya kuungauunga kwenye tamthiliya na vijarida vya urembo.

Ila tatizo kubwa zaidi ni kitu kinaitwa kiuchumi "purchasing power" ipo low sana kwa watz, ndo maana hata biashara za kibongo nyingi zinafanana, na hata wafanyabiashara wengi wa kibongo they are being refered as "petty traders". You can connect pia na hili la wasomi wengi wa hapa bongo they are crying of ajira, while wanaona hakuna ajira!!

So tatizo kubwa ni exposure ndogo waliyonayo iliyosababishwa na mifumo mibaya ya kiuchumi, hivyo wakajikuta they have low purchasing power, yaani hawamudu kununua safari za kwenda ulaya kwa wenzetu wakajionee!!!!
Ahsante!!
 
Mila za watu hizo zimekuja nchini humu na majahazi! Mtanzania yake Khanga na Kitenge!

Kuvaa unajua sanaa sema uchumi unabana sana! CL, Jimmy Choo, Louis Vuitton, McQueen na wengineo tumemuachia Sepetu wa Sepetunga mamaa Audi Q7!!!!!!!!

Lala suala la uchumi silipi asilimia kubwa. Kwa mfano utakuta uswahilini mdada kavaa vizuri tu kapendeza akitoka anatupia au anajitanda na kanga kuficha alichovaa. Haya na maofisini unakuta mdada graduate na anafanyia ofisi nzuri tu na ana mshahara mzuri akitoka nyumbani kwake asubuhi anavaa kama ni mavazi ya ofisini au suti lakini akishafika ofisini anavua viatu anavaa sandolz au kandambili . Huwa wanazihifadhi kabisa ofisini. Ina maana huyu mtu hajazoea viatu I mean closed shoes. Kwahiyo muda wote ofisini anakuwa na mavazi ya ofisi na kandambili ikifika muda wa kuondoka anavaa tena viatu vyake
 
Katika nchi chache nilizotembelea kama south africa, kenya, mozambique, zambia, rwanda etc.....wanawake wa tz kuvaa zero iwe nyumbani,ofisini au outing. Kwanza wanachanganya nguo za ofisi na za out yaani hapo unakuja mchanganyiko wa ajabu. VIATU hapo ndio hakuna kitu kabisa. Wengi wao ni sandolz na open shoes iwe ofisini au outing . mpaka miguu inapauka harafu wanaenda kuisugua mwenge.ukimkuta kavaa closed shoes ujue kazini kwao wamelazimishwa. Pia vigumu sana kumkuta mdada wa kibongo kavaa RABA na kaptura weekend au outing

UMELALALAMIKA WEEEWE! Umetoa solution Gani sasa
 
Huwa sielewi sawa sawa pale mabinti wa mikoa yenye baridi kali kama Iringa na Mbeya wakiwa kwenye sherehe usiku. Wanavaa vinguo vifupi vya mikanda kwa kuwa wameona Dar mabinti wanavaa hivyo, wakati Dar ni joto. Mtu anavaa vi mikanda huku anatetemeka kwa baridi, lol...
 
Sio kwamba watu hawajui kuvaa, bali watu hawajui kuchagua nini cha kuvaa wakati wa kununua mavazi.
Wengi hawaelewi ni nini Fashion and Style..
Tena kuishi kwa Fashion na style za jumla jumla ni utumwa. ishi na kuvaa kadri upendavyo. muhimu niliyevaa nipo comfortable, malezi na makuzi tofauti kwangu hata nguo kata mikono sivai leo unambie fashion kuvaa kaptula?sishawishiki. fashion, style za kuburuzwa na kundi fulani la watu hazinisumbui.na sijawahi kosa kusifiwa nimependeza kila ninapokuwa hata nikifunga kitenge mume wangu ananisifia nimependeza.
 
go back to school...umeshindwa kuelewa hata kidogo hayo niliyoandika

Tena kuishi kwa Fashion na style za jumla jumla ni utumwa. ishi na kuvaa kadri upendavyo. muhimu niliyevaa nipo comfortable, malezi na makuzi tofauti kwangu hata nguo kata mikono sivai leo unambie fashion kuvaa kaptula?sishawishiki. fashion, style za kuburuzwa na kundi fulani la watu hazinisumbui.na sijawahi kosa kusifiwa nimependeza kila ninapokuwa hata nikifunga kitenge mume wangu ananisifia nimependeza.
 
Katika nchi chache nilizotembelea kama south africa, kenya, mozambique, zambia, rwanda etc.....wanawake wa tz kuvaa zero iwe nyumbani,ofisini au outing. Kwanza wanachanganya nguo za ofisi na za out yaani hapo unakuja mchanganyiko wa ajabu. VIATU hapo ndio hakuna kitu kabisa. Wengi wao ni sandolz na open shoes iwe ofisini au outing . mpaka miguu inapauka harafu wanaenda kuisugua mwenge.ukimkuta kavaa closed shoes ujue kazini kwao wamelazimishwa. Pia vigumu sana kumkuta mdada wa kibongo kavaa RABA na kaptura weekend au outing

A picture speaks a thousand words!
Ungeweka picha kwaajili ya ushahidi kwa hao unaowaponda na hao unaowasifia
 
Mhh,nakubali watanzania hawajui kuvaa,lakini Kenya ni most,coz hao wakenya utakuta mdada ameva suti na raba,hivi inaleta maana kweli?halafu mchana kweupe wanavaa masweta,hivi ww kama umewahi kufika Nairobia kuna baridi gani kiasi cha mchana jua kali kuvaa sweta,yaani kenya ni Zero katla uvaaji,sijui nchi nyingine labda kwa kua sijafika ila Uganda wanajitahidi kidogo

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom